Mii binafisi chadema siielewi, nilitokea kuinamini sana, lakini kwa sasa itanichukua muda sana, na sidhan kama kura yangu ntaipeleka huko tena! Chama kinatakiwa kutufahamisha sisi wapiga kura je zitto anakosa gani hasa hadi kudharirishwa vile?
Mleta maada umesema ujio wa mikopo ya mabenki ndooo imewawezesha wadada wengi kumiliki magari, kama ni hivyo uchafu unaokuwa kwenye hizo gari itakuwa ni stress za mikopo, mii napita tu!
Kwa sugu kuwa na hiyo nyumba mii sioni kama issue, maana sugu ni mwanaharakati toka sisi tukiwa watoto(mimi) ndoo waazilishi wa bongo fleva kweli ashindwe kuwa na mjengo kama huo jamani, tuacheni majungu, tujadili issue za maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.