Umenikumbusha pale mtwara (mnarani),, jamaa walikuwa wanatumia fimbo afu wamakonde walikuwa wanatumia mawe,, mechi ilipigwa karibia nusu saa, majaa wakakimbia wakaacha gari, gari lilipigwa mawe sana,,wanajeshi wakaja wakawa wanapita nyumba baada ya nyumba,,
Sent using Jamii Forums mobile app