Recent content by BONGOLALA

  1. BONGOLALA

    Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    Halafu anasema eti hajaanza kuchimba mawe,wakati caspian ipo huko miaka kadhaa sasa.Anawaona watanzania ni wajinga
  2. BONGOLALA

    Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    Kwa nini kila uchao anatajwa kama fisadi?ubaya zaidi vi kampuni vyake ukienda Brela hukuti jina lake.Anajificha sana sa na.Hana nia njema.Halafu kwanini anapenda ikulu sana?
  3. BONGOLALA

    Rostam Aziz: Mimi bado sijaanza kuzalisha makaa yangu ya mawe, Ngaka kuna migodi 16

    Rostam asidanganye umma,yeye kachukua mgodi uliokua wa NDC kiajabu ajabu hata wafanyakazi wanashangaa.Kampuni yake ya Caspian ilikua mtoa huduma wa mgodi ule
  4. BONGOLALA

    Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

    Enzi zile ukisikia rais atahutubia kila mtu anakimbilia tv na redio kusikia Tamko la nchi,siku hizi wala hakuna mwenye hata kutaka kujua yupo wapi
  5. BONGOLALA

    GE2020 Gwajima Fursa hii hapa ya kupata kura nje nje ila usitoe rushwa ni Boko Basihaya

    Kikwete mwenyewe alichemsha akabaki kuchimba mtaro dawasco kuelekea ununio. KAWE TUNASTAHILI KUTUNZA HESHIMA YETU HESHIMA HALIMA MDEE ANATOSHA
  6. BONGOLALA

    Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Mkuu uliona mbali sana!
  7. BONGOLALA

    Wananchi tuwe makini na CHADEMA

    Huna akili
  8. BONGOLALA

    Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

    Jamaa kapiga 17bilioni
  9. BONGOLALA

    GE2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

    Yote hiyo chadema.Penye umasikini wa kutupwa wasiojielewa watapigia ccm
  10. BONGOLALA

    GE2020 Nawashauri CHADEMA wamtulize kwa sasa Tundu Lissu aache kufanya mashambulizi makali kwa Rais Magufuli

    Lissu atajenga mfumo imara wa utawala wa nchi kwa manufaa ya vizazi hata vizazi. JPM asipondoka tutaendelea kuwa na mfumo mbovu wa kila sekta
  11. BONGOLALA

    TPDC na TANOIL wana mikakati gani katika kuhakikisha wanamiliki at least 50% ya Petrol Stations zote zilizopo jiji la Dar/majiji makuu ya kibiashara?

    Tayari petrol imekua tabu kila kona.Serikali ikiingilia tuu biashara ni tabu tuliona sukari korosho na sasa mafuta.
Back
Top Bottom