fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,188
- 3,709
Hawa jamaa kupitia chama chao na tangu arudi Mr. Lissu,wamekuwa na kila chokochoko ya kujaribu kutushia amani ya nchii hii kwa kuongea/kuzusha ama hata kupindisha sheria na desturi za nchii hii kwa ajili tu ya uchokozi ili waeze kutekeleza jambo lao la Siri lilojificha ndani yake.
Serikali na wananchi tumekua wavumilivu Sana kuona staha yao ktk wanayofanya,lakini wameendelea kutukana na hata kutishia kuvunja amani bila kuchukuliwa hatua.
Hawa watu wamebanwa kila Kona ktk Yale waloyapigia kelele miaka nenda rudi,yametekelezwa kwa ustadi mkubwa sana na hatimaye ufisadi kuhamia kwao kwa kutafunwa rudhuku,kujikopesha hivyo fedha za chama,udikteta wa mwenyekiti wao,kununua magari kwa fedha za chama wakati jina la kadi la mtu binafsi,tuhuma za utoaji wa nafasi za viti maalum kwa rushwa ya ngono,Kujitwika uenyekiti wa kudumu wa chama(mbowe),ukanda,ubinafsi na kila takataka.
Sasa wameanza kuratibu matukio wao wenyewe kwa ajili tu ya kuanza kuendea ajenda yao.
Ikumbukwe yalotokea ktk nchi nyingi na uasi,basi walitumia stile hii hii.
Kuanzia Iraq, Afghanistan, Libya, Syria, Tunisia, Misri.
Na nchi nyingi Sana zilizoingia ktk uvunjifu wa amani,basi uratibu ukianza hivi hivi,dunia ione Kama wapinzani wanaonewa ili watekeleze matakwa binafsi ambayo ni unyonyaji wa mali za nchi kupitia makampuni yao binafsi.
CHADEMA KWA SASA KUPITIA TUNDU LISSU WANAELEKEA RASMI KUA MA AGENT WA NCHI ZA UNYONYAJI(mabeberu)
Mradi tu matumbo yao na familia yao waneemeke.
Kumbuka ktk jambo la maslahi,ndani ya Chadema wamejaa watu ambao Wana uchu ulopitiliza ambao unajidhihirisha hata ktk fedha za chama wanavyozushambulia na kuzigombania.
Tumeyaona tangu 2015 walivyomtosa Dr.Slaa kisa Hana hela za kampeni,wakampa mtu ambaye waliuaminisha umma miaka nenda rudi kua ndo Fisadi Papaa.
Wananchi tuchukue tahadhari Sana na hii Sacco's
Serikali na wananchi tumekua wavumilivu Sana kuona staha yao ktk wanayofanya,lakini wameendelea kutukana na hata kutishia kuvunja amani bila kuchukuliwa hatua.
Hawa watu wamebanwa kila Kona ktk Yale waloyapigia kelele miaka nenda rudi,yametekelezwa kwa ustadi mkubwa sana na hatimaye ufisadi kuhamia kwao kwa kutafunwa rudhuku,kujikopesha hivyo fedha za chama,udikteta wa mwenyekiti wao,kununua magari kwa fedha za chama wakati jina la kadi la mtu binafsi,tuhuma za utoaji wa nafasi za viti maalum kwa rushwa ya ngono,Kujitwika uenyekiti wa kudumu wa chama(mbowe),ukanda,ubinafsi na kila takataka.
Sasa wameanza kuratibu matukio wao wenyewe kwa ajili tu ya kuanza kuendea ajenda yao.
Ikumbukwe yalotokea ktk nchi nyingi na uasi,basi walitumia stile hii hii.
Kuanzia Iraq, Afghanistan, Libya, Syria, Tunisia, Misri.
Na nchi nyingi Sana zilizoingia ktk uvunjifu wa amani,basi uratibu ukianza hivi hivi,dunia ione Kama wapinzani wanaonewa ili watekeleze matakwa binafsi ambayo ni unyonyaji wa mali za nchi kupitia makampuni yao binafsi.
CHADEMA KWA SASA KUPITIA TUNDU LISSU WANAELEKEA RASMI KUA MA AGENT WA NCHI ZA UNYONYAJI(mabeberu)
Mradi tu matumbo yao na familia yao waneemeke.
Kumbuka ktk jambo la maslahi,ndani ya Chadema wamejaa watu ambao Wana uchu ulopitiliza ambao unajidhihirisha hata ktk fedha za chama wanavyozushambulia na kuzigombania.
Tumeyaona tangu 2015 walivyomtosa Dr.Slaa kisa Hana hela za kampeni,wakampa mtu ambaye waliuaminisha umma miaka nenda rudi kua ndo Fisadi Papaa.
Wananchi tuchukue tahadhari Sana na hii Sacco's