Recent content by BongoFinyu

  1. B

    Ulaya ni kama hamna Uviko19, fainali za Euro 2020-Wembley imetapika

    Niwaambie watu Europe wameamka hawataki huu ujinga wameandamana sana kupinga chanjo, lockdowns, na barakoa kwa sababu washajua ishu nzima ya covid ni biashara ya chanjo na mauaji ya kimbari kutumia hiyo chanjo. Huamini ngoja ije ila uwe mstari wa mbele. Msiklize huyu mshindi wa zawadi ya Nobel...
  2. B

    Tanzania, Beware of MONSATO and foreign Agro business conglomerates!

    Tanzania Orders Destruction of Monsanto/Gates Foundation GMO Trials https://sustainablepulse.com/2018/11/24/tanzania-orders-destruction-of-monsanto-gates-foundation-gmo-trials/#.YIIfOehKi00
  3. B

    Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

    Kwa nini iwe Bagamoyo na isiwe Kilwa au Mafia? Tuache uzuzu hii ni project ya JK ila anatumia wapambe wake na mmojawapo ni Zitto. Huyu ni suhuba wa JK mkubwa sana.
  4. B

    Rasmi sasa wafuasi wa Hayati Magufuli wamegawanyika makundi mawili

    Kichwa cha habari hakiakisi vizuri yaliyomo ndani yake. Ni wafuasi wa Magufuli au wa CCM waliogawanyika makundi mawili?
  5. B

    The danger of wearing facemasks (Barakoa) for preventing COVID-19: Hypothetical perspectives

    Dear fellow Tanzanians, I would like to present to you a recent paper published in a journal "Medical Hypothesis, Volume 146, January 2021, 110411" with regard to wearing facemasks for preventing supposedly COVID-19 disease. The author concluded that the wearing of facemasks is ineffective in...
  6. B

    Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo

    Dawa inayoonekana kutibu ni hydroxylchloroquine na zinc (Azithromycin) ila hawa wababe wenye pesa ambao wanashare zao kwenye makampuni makubwa ya madawa duniani wanaipiga sana vita. Angalia hii video labda utajifunza namna kirusi kinavyshambulia mwili na namna hizo dawa zinavyofanya kazi...
  7. B

    Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo

    Kwa taarifa yako dada yangu ni kuwa athari za chanjo inaweza kuwa ni muda mfupi au mrefu. Mfano wakati chanjo ya polio kabla haijaanza miaka ya 1950s kulikuwa na zero cases za cancers sehemu kubwa ya Dunia, lakini baada ya miaka kadhaa ya kuchanja polio duniani, sasa hivi kuna aina kadhaa za...
  8. B

    Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo

    Inaonekna ushakuwa social engineered by mainstream media. Soma hichi kitabu kimetoka karibuni kipo amazon Anyone Who Tells You Vaccines Are Safe and Effective is Lying Kisha msikilize huyu myahudi akitoa evidence ya kinachotokeaa huko walipo Israeli fears a new Holocaust is coming - Shai Dannon...
  9. B

    Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo

    Elimika hapa: Death Rates Skyrocket in Israel Following Pfizer Experimental COVID “Vaccines” Are More People Being Harmed by the Pfizer Experimental “Vaccine” than from COVID? Israeli Population Now the World’s Lab Rats Sold Out to Pfizer CNA Nursing Home Whistleblower: Seniors Are DYING LIKE...
  10. B

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    BARAKOA INAVYOONEKANA HAISAIDII KUZUIA MAAMBUKIZI NA NI HATARI KWA AFYA. SOMA HAPA CHINI Barakoa kiufundi au kisayansi ni hatari sana kwa afya yako na hasa unapoivaa kwa muda mrefu. Inaweza pelekea mtu kupata magonjwa kama kansa ya mapafu kwa mujibu wa tafiti za karibuni. Lakini kikubwa zaidi...
  11. B

    Fahamu kuhusu ushauri wa kuvaa barakoa mbili

    Barakoa kiufundi au kisayansi ni hatari sana kwa afya yako na hasa unapoivaa kwa muda mrefu. Inaweza pelekea mtu kupata magonjwa kama kansa ya mapafu kwa mujibu wa tafiti za karibuni. Lakini kikubwa zaidi ni kwamba haisaidii kupunguza maambukizi ya huu ugonjwa wa korona kwa mujibu wa tafiti...
Back
Top Bottom