Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Mkuu,umesahau na BupijiHivi hamujawaeleza kama tunayo dawa inayoitwa Covido, hebu wapelekeeni box moja tu halafu ni bora sasa hii dawa ikagawiwa bure katika nchi za nje.
Mkuu,umesahau na BupijiHivi hamujawaeleza kama tunayo dawa inayoitwa Covido, hebu wapelekeeni box moja tu halafu ni bora sasa hii dawa ikagawiwa bure katika nchi za nje.
Kichekesho kingine tena cha mabeberu hawa, we sikiliza mbinu zao za kitoto zenye lengo la kupigia debe chanjo za magharibi na kutaka kuzibebesha mzingo wa madeni mataifa ya Afrika - kumbuka WHO iliwahi kuzishauri nchi za kiafrika eti zichukuwe mkopo wa World Bank ili usaidie kununua chanjo za makampuni yanayo fadhiliwa na Bill Gates na mkewe, wanatufanya waafrika hatuna akili!! Yaani siku hizi WHO imegeuzwa kichaka cha Udalali wa chanjo za Bill Gates na mkewe - watu hawa ni hatari sana wanakwenda mbali zaidi na ku-involve mpaka World Bank kwa kificho, si unaona hapa mkurugenzi wa Workd Bank is conveniently avoiding kutaja masuala ya mikopo kwa ajili ya kununulia chanjo hasa Serikali za Dunia ya tatu - hataki kuonekana ni part and parcel ya genge la Bill Gates na mkewe, WHO ambao siku hizi wamegehuka kuwa madalali wa chanjo za Bill Gates zinazo zalishwa na Big Pharma Companies ambazo yeye ndiye mfadhili wao mkuu - sasa unaona chain hiyo ya kupiga hela ndefu ilivyo sukwa kuifundi - chain hii hapa: Chanjo za Bill Gates zinazo zalishwa na makumpuni ambayo anaya fadhili ----> WHO inatuimiwa kama dalali wa kupigia debe chanjo za Bill Gates ----> wanashirikisha World Bank kwa kificho huku WHO ikijidai kutoa ushauri kwa nchi maskini eti "zichukuwe mkopo kutoka World Bank kwa ajili ya kununulia Chanjo wanazo zipigia debe!"
Ukiangalia kijuu juu unaweza kudanganyika kirahisi sana na ufisadi huu iliyo kubuhu - bahati nzuri mtu mwenye sharp analytical mind na ni Mega smart upstairs kama Magufuli si rahisi kuingiza Taifa letu kwenye mkenge, alisha usoma mchezo wao mzima kwa siku nyingi tu, na wao wamekwisha litambuwa sana hilo, ndio maana mkurugenzi wa World Bank anajifanya kutoa ushauri kwa Tanzania/Magufuli kuhusu jinsi ya ku-deal na COVID-19 wakati yeye si tatibu wala staff /employee wa WHO, yeye kazi zake ni za kibenki, iweje kwenye masuala ya chanjo wakati hiyo sifani yake! Ukweli ni kwamba yeye anacho tafuta pale ni kutaka Tanzania na mataifa mengine ya Afrika yachukuwe mikopo kutoka World Bank mwisho wa siku wazibebeshe nchi masikini mzigo wa madeni.
Sijui nikupongeze kivipi mkuu, maana umemaliza kila kitu - wenye masikio na akili timamu watakuelewa vizuri mbona, lakini wenye kuendekeza masuala ya siasa na kubeza beza juhudi na tahadhali za Dk. JPM katika harakati zake za kukataa chanjo zenye walakini mkubwa kwa binadamu wa rangi zote lakini zaidi kwa batch za chanjo zitakazo letwa barani Afrika - ukifuatia kwa karibu comments zangu siku za nyuma hazina tofauti kubwa na za maoni ya wana sayansi walio bobea katika masuala ya Molecular Biology na Immunology, wapo wana sayansi kama hao wenye hofu ya Mungu na wana maintain integrity zao na morals, hao ndio wanatadhalisha Dunia kuhusu ushenzi wa Bill Gates na genge lake lenye kutetea the so called NEW WORLD ORDER - wamepania kukarabati Dunia ili iwe kwenye mfumo wanao utaka wao, hata wakiangamiza robo ya World population by getting rid of so called undesirable race specifically black people hilo wao wanaona ni sawa tu wana wajibu wa kurekebisha Dunia.
Ninacho kitaja hapa juu ni kweli tupu wala si adithi za kutunga - wako determined kweli kweli kitekeleza hazma yao come rain or shine. Siku moja niliwahi kumsikia mmoja wa genge la Bill Gates akisema bila woga wala kificho kwamba Bara la Afrika waliwahi kuchangia nini kisayansi katika maendeleo na ustawi wa binadamu wenzao Duniani, nitajie kitu chochote cha maana ambacho Waafrika wali wahi kukivumbuwa - hakuna! Kazi zao ni kuzaliana bila mpango mwishowe watakuja kutumalizia rasili mali chache zilizo baki Duniani, mwisho wa siku our future Generations zita angamia - we sikiliza akili za ajabu za baadhi ya Wazungu wenye akili fyatu
Wewe ndio kichwa nazi kabisa,sasa nakuambukizaje wakati wewe umepata chanjo? ndio maana tunaona hapa kuna mchezo mchafu tunaotaka kuchezewa,haiwezekani umepigwa chanjo (kinga)arafu ukasema nitakuambukiza sasa hiyo chanjo (kinga)inakusaidia nini!kama utakuwa umechanjwa arafu unaendelea kushambuliwa na corona?Mkuu Tanzania so kisiwa,tunalazimika pia kuwalinda watu wengine Kama sisi hatuuawi na covid tunaweza tukawa carriers na hivyo kuwaambukiza wengine,unless Kama Tanzania inataka kuwa kwenye sayari ya pekee yake,hata hivyo nakushauri ujitajidi kuzishinda hizo negativity
It's usitake utachanjwa tuHatutaki chanjo tumesema. Hivi hawa hawaelewi!!!!!!!
Ulazima unakuja pale wanapoona dunia ni moja na muingiliano ni mkubwa.Sijui kuna siri ipi juu ya hii chanjo...
Maana so kwa kilazimishana huku
Kinachonichekesha hata hao wanaotulazimisha tuitumie hawaelewi ukidungwa inatumia muda gani kuanza kufanya kazi, hawajui kama ukitumia itakuzuia na maambukizi mapya?, hawajui kwa nini ukishachanjwa unatakiwa uendelee kuvaa barakoa, kunawa mikono na kujitenga na watu, hawajui inakaa muda gani mwilini. Nimeangalia interviews kibao za maafisa wa WHO wanajichanganya sana. Ni vichekesho tuSijui kuna siri ipi juu ya hii chanjo...
Maana so kwa kilazimishana huku
Pamoja mkuu, barikiwa sana.Nimefurahi sana kuona comment kama hii, bahati mbaya ndugu yangu mods wataifuta
Wait n see
Hili swali wanakuwaga na kigugumizi kulijibuShangaa sasa kwanini dunia inahangaika, kama wewe umechanjwa si utakuwa salama? Una wasiwasi gani na mtu ambaye hajachanjwa?
Tumshukuru aliyetupaishaAsante corona maana Tanzania imekua maarufu sana.
Watukome!! Watukome!! Watukome!! Maana hii ndio lugha wanayoweza kukuelewa!! Hawa watu si kwamba wanatupenda Sana!!Hatutaki chanjo tumesema. Hivi hawa hawaelewi!!!!!!!😁
Hao wenye chanjo yao wamepoteza mapadri wangapi? Tumia akili vizuri.Wewe sio muelewa eti hutaki chanjo taifa litaangamia pamoja na mimi na wewe, tumeshapoteza mapadri 25, watawa 60 kwa muda mfupi. Hawa wametangazwa rasmi!!!
Tumeshinda kwa sababu hakuna vifo vya halaiki kama huko wanakodai Wana chanjo!! As simple as that!!Ninachomshangaa sana Rais Magufuli kwenye ubora wake wa uongozi na uanasayansi wake na kuendesha mambo kimbumbumbu.
Hujui ukubwa wa tatizo. Huna data yoyote, unawezaje kusema umeushinda ugonjwa? Unawezaje kusema ugonjwa kuwa haupo? Anaendesha mambo kienyeji kupindukia. Kiongpzi mwelewa huwesi kufanya hivyo.
Nmependa maelezo yako chief 💯🤝🤝🤝Watukome!! Watukome!! Watukome!! Maana hii ndio lugha wanayoweza kukuelewa!! Hawa watu si kwamba wanatupenda Sana!!
Wasi wasi wao ni kwamba kama nchi nyingi zikichukua msimamo wa Tanzania, mabepari watakula hasara kubwa maana wamewekeza Sana kwenye chanjo!! Hiyo hela hairudi!!
Ukweli ni kwamba corona imewapiga chenga ya mwili na wao wanafahamu Ila hawataki kusema ukweli!! Chanjo iliyopo ni dhidi ya kirusi cha corona kama kilivyokuwa mwaka 2019. Lakini kimejibadilisha tayari!! Hiki cha 2021 hakizuiliwi na chanjo hii iliyopitwa na wakati!! Inabidi waanze Kazi upya kutafuta chanjo ya kudhibiti covid 21!! Wakiipata chanjo ya kudhibiti covid 21 kitatokea kinacholeta covid 22. Ndio maana wazungu wanasema hadharani kuwa: Corona is a moving target!!!!
Sasa mtu na akili yako unakubali kurubuniwa kununua chanjo ambayo tayari imeshapitwa na wakati!! Tanzania tunasema hapana!!
Ni Mungu tu asiyepitwa na wakati na huyo watanzania tumemtanguliza mbele.
Kuna watu hawajui, iko hivi:
Ili upate hizo chanjo kuna njia mbili:
1. Unanunua toka kwa watengenezaji na bei yake ni kubwa.
2. Unatimiza masharti fulani ili uingie kwenye mpango wa covax vaccinations program. Huu mpango unasimamiwa na WHO. Katika mpango huu, mabeberu walishalipia tayari gharama ya chanjo hizi. Lakini ukitaka uwe mnufaika wake, unaingia makubaliano yaitwayo: AMC yaani Advance market commitment ambapo makaburu tayari walishaingia na kuwezesha upatikanaji a chanjo hizi. Nchi zingine zinaambiwa hii chanjo ni bure LAKINI unatakiwa uji-commit kuchangia sehemu fulani ya fedha kwa kila dozi moja ya chanjo (unayopewa bure) kwenye mpango wa covax. Hicho kiasi utajicommit kwa kufikia maridhiano na mataifa yaliyowezesha hiyo chanjo kupatikana!! Mtego uko hapo. Na hiki kitu hutakisikia wanakiongea japo utaratibu ni huo. Kwanza lazima ukubali raia wako wote wapate chanjo!! Na tayari huo ni mkataba huwezi kuuvunja kesho!! Hata kama wakakuambia utachangia nusu bei, ujue umepigwa maana hiyo bei yake kwanza imekuwa inflated!
Ni kama walioingia mkenge wa kupima Pima Pima! Mpaka raia wote uwapime ni gharama gani utatumia? Kwa kuwa pesa huna unakopeshwa kisha unarejesha kwa riba!!! Sasa yote hayo Tanzania tumeyakwepa, makaburu wanatusagia meno!!
Ila ni suala la muda tu, ifikapo mwisho wa mwaka itakuwa imedhihirika kuwa hii chanjo haina msaada wowote!! Walioingia mkataba watalazimika kulipia maana walishatumia!! Halafu watadai wamepata chanjo nyingine!! Hiyo nayo "usaidiwe" na uchangie tena!! Mzunguko utaendelea hivyo kwa miaka mingi ijayo!! Kwa mabepari wamegeuza hili janga kuwa fursa!! Wajinga ndio waliwao!!
Nikuulize wewe mwenye uwezo wa kupambana mambo:Nimesoma post zote juu ila nimejifunza kuwa, wa Tz wengi uwezo wao wa kupambanua mambo na kuelewa ni mdogo sana ndio maana wengi hawana mbele wala nyuma.
Kwa taarifa yako dada yangu ni kuwa athari za chanjo inaweza kuwa ni muda mfupi au mrefu. Mfano wakati chanjo ya polio kabla haijaanza miaka ya 1950s kulikuwa na zero cases za cancers sehemu kubwa ya Dunia, lakini baada ya miaka kadhaa ya kuchanja polio duniani, sasa hivi kuna aina kadhaa za cancers na zinaongezeka siku hadi siku. Na sababu kubwa ni hii protein iliyo ndani ya chanjo ya polio inayoitwa SV40 ambayo wameitoa kutoka kwa nyani.Kinachoshangaza, wajawazito wanachanjwa, watoto wanachanjwa, watoto wa kike wanapewa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi ila ikija wa COVID ndo watu wanaleta uelewa wa chanjo.
Kama kweli chanjo zinadhuru mlikuwa wapi wakati tunachomwa nduiii!????
Dawa inayoonekana kutibu ni hydroxylchloroquine na zinc (Azithromycin) ila hawa wababe wenye pesa ambao wanashare zao kwenye makampuni makubwa ya madawa duniani wanaipiga sana vita. Angalia hii video labda utajifunza namna kirusi kinavyshambulia mwili na namna hizo dawa zinavyofanya kaziHao wanasayanzi wabobezi waje na mbadala wa kuthibiti hiyo corona siyo kuja na maoni juu ya options za wenzao, ndo tutaona ubobezi wao.