wembamba wa barabara sio shida kwani mabasi haya ni ya moja kwa moja kupitana labda kwenye kituo, barabara zake ni maalum na zinavipimo vyake ndo mana kwa mtazamo tu wa kawaida unaweza kuziona ni nyembamba sana
makamanda tusonge mbele tusikubali wao wana kikundi chao nasi pia tuanzishe chakwetu bhana kwani vipi hawa mafisadi??? wao wanapolisi wana jeshi sasa hiki kikundi kingine ni chanini
jamani hata mimi natamani kuipata hiyo speed lakini nikiclick hiyo screen haijigusi tena je nifanyaje wakuu, me natumia modem ya airtel je inawezekana kutumia????
ccm kweli wameishiwa sera, chadema inapiga vita ufisadi na rushwa afu tena wao wahonge waandishi,embu mama makinda kua na busara kwani umri wako na busara yako haviendani, nimara nyingi sana tunshudia kwa macho yetu ufitini wanaofanyiwa wabunge wa kambi ya upinzani, sasa cjui kama unayoyaongea...
jamani wakuu naomba kuuliza kama sio kujua, nimekua katika wakati mguuumu sana kwani kunamaneno watu husema kwamba mwanamke mwembamba huwa haridhiki na mwanaume mfupi, na kwaupande wangu me naamini kua wanaume wote ni sawa kwamba alichonacho mwanaume mrefu ndo alichokuanacho mwanaume mfupi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.