Recent content by Bondpost

  1. Bondpost

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Labda umechelewa kujua hili, au labda wamebadili mfumo wa kuitumikia CCM na kujiweka wazi zaidi lakini napenda ufahamu kwamba miaka yote hii, jeshi limekuwa likiisaidia CCM sababu kuna wakubwa wa jeshi nao wana maslahi yao ambayo wanaonahata wakistaafu waishi kwa utajiri mkubwa kushinda askari...
  2. Bondpost

    Baada ya ndoa ya Toni Braxton na Birdman kudumu kwa mwezi mmoja, Toni aomba talaka

    Pisi yake long time na ndiye aliyemsimamia muziki toka mwanzo.
  3. Bondpost

    Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    By any means possible, nasema mwache azae nje. Nyie binadamu wa kike hamnaga shukrani.
  4. Bondpost

    GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Nape anagombea jimbo gani? Naon hapo kama vile Jemedari Said ndio amepitishwa.
  5. Bondpost

    GE2025 David Komba: Wananchi wa Isimani tumpeleke mzee watu akapumzike

    Ni wakati sahihi mzee wetu Lukuvi kwa sasa apumzike atunze heshime yake maana atadhalilika bure eatu watafukua makaburi heri atulie wamsitiri.
  6. Bondpost

    GE2025 Salim Kikeke: Nitaongeza thamani ya Soko la Nguruwe Jimboni

    Ustaadh Salim ni noma. Huyu ni mwanachama wa ngriiii
  7. Bondpost

    GE2025 Shetani hana Rafiki: Chawa Shilole atupwa CCM

    Afadhali maana hii ilikuwa fedheha japo kuna wajinga wengi wameachwa bado.
  8. Bondpost

    Plastic wrapping katika vituo vya SGR

    Pamoja ya kwamba una hoja nzuri lakini plastic wrapping ni worldwide practice. Airports zote hufanya hivyo lakini sio lazima ni pale mtu binafsi akitaka kufanya hivyo ili kuzuia bag lake lisichubuke au kuchafuka then atalipia huduma hiyo na yale malipo huwa kama comensation kwa ajili ya kutumia...
  9. Bondpost

    Mbunge, Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya Tanzania ni vigumu sana kuajirika akipoteza kazi

    Re-read your last sentence and bold as my take.
  10. Bondpost

    UN kuhamishia makao makuu ya UNICEF, UNFPA na UN Women jijini Nairobi, Tanzania tuko wapi?

    Haya mashirika bwana yule nzilankende aliwazungua sana mpaka UN women walifunga ofisi zao bongo wakabakiza staff kadhaa tu. Hii haiwezi kurudisha imani zao kwetu kwa haraka taking into consideration of the current socio-political circumstances happening in our country. Rais aliyeingia...
  11. Bondpost

    Mbunge, Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya Tanzania ni vigumu sana kuajirika akipoteza kazi

    Mnawaza kuajiriwa tu, kwa CV yake anaweza kuwa member wa boards mbalimbali, consultant, lobbyst, businessman etc. Anapenya kila sehemu hana shida kubwa kujitambulisha.
  12. Bondpost

    Leo nimeamini barabara ya coco beach ni mtego wa kifo (death trap)

    Tatizo la mashabiki wa Simba - makolo mmevurugwa sana. Tuliza kichwa ukiwa barabarani kijana utapasuka😅😅
  13. Bondpost

    Kwanini ni nadra kukuta wasabato matajiri?

    Unamjua Gachuma? Nenda kandanya ziwa wapo kibao, matajiri almost wote wa mkoa wa Mara wengi ni wasabato mzee. Tembea uone
  14. Bondpost

    "Manusura" wa ndege ya India hakuwa abiria kwenye hiyo ndege

    Bwana Majaliwa aliyechangamka 😅😅
Back
Top Bottom