GE2025 Shetani hana Rafiki: Chawa Shilole atupwa CCM

GE2025 Shetani hana Rafiki: Chawa Shilole atupwa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,449
Reaction score
283,760
Lengo letu si kushabikia mambo ya ccm, maana hayatuhusu, lakini tunalazimika kuandika haya ili kuonyesha Ukuu wa Mungu.

Screenshot_2025-07-30-23-15-58-1.png
 
Shi shi food anataka ubunge na standard 4 yake hii nchi mbona tumeweka vituko sana
Hoja ya elimu ya mgombea imeshapoteza nguvu kwenye nchi hii. Wasomi tulionao Bungeni na Serikalini wameshindwa kuufanya usomi uonekane kuwa na thamani kwa taifa. They’re all corrupted and are as useless as their uneducated colleagues!
 
Goma l mtu
Mbu kwa mbu!! Mji mzito huu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom