Jamani, naomba msaada, unamjibuje mtu hoja yake... Nimetafuta wee button ya ku click ili kumjibu nimekosa. Nikijibu inakuwa kama hoja ya kawaida tu, au kama vile nime mquote
Hilo tatizo inaonekana ulililea tangu mwanzo, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo same applied to mke. Ila solution sasa ni kuanza kujenga mahusiano yako na mkeo, kaa nae ongea nae mara kwa mara, kila tatizo linapojitokeza usirundike mambo, na kama ni ndoa ya kikristo jua haina mwisho, kwahyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.