Recent content by Bon Voyage 1

  1. B

    Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

    Tatizo sio kuchelewa kuanza sex, kwa wengi huwa Mara ya kwanza Bao linakuja fasta sana ila pia woga na kutojiamini kwamba utamwaga mapema inachangia. Jitahidi uongee na Huyo mpenz wako ili uweze kujiamini
  2. B

    Kupata mpenzi wa kuingia naye kwenye ndoa ni kazi saana.

    Hiyo namba 3 ni ya kukolezwa na wino mwekundu kabisa
  3. B

    Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

    Duh perfect timing ya Mwenye mke kuwagonga na gari
  4. B

    Niendelee na ustaarabu au nitumie nguvu?

    Sasa si ungemnyoa tu mkuu
  5. B

    Simba hutumia chini ya dakika moja pamoja na nguvu alizonazo

    Hiyo sekunde Moja jiulize Wanapiga round ngapi?
  6. B

    Vyakula au miiti gani inaongeza sperms kwa haraka kwa wingi?

    Weka kama vijiko 2 vya swaumu na 2 tangawizi kuisha mimina asali kikombe cha chai. Hata ikipungua au kuongezeka hamna shida maana vyote ni vyakula
  7. B

    Vyakula au miiti gani inaongeza sperms kwa haraka kwa wingi?

    Changanya asali, tangawizi na vitunguu swaumu. Visage au uvipondeponde halafu uchanganganye na asali kiasi. Tumia baada ya Massa 12 vijiko viwili ( vya chakula) asubuhi na Jioni. Baada ya wiki tu utaleta mrejesho hapa mpaka demu atalalamika unamwaga nyingi sana
  8. B

    Huwa unafanya nini baada ya Kusalitiwa na kuachwa kikatili?

    Mimi huwa slogan yangu ni"Time is the best medicine " Uachie muda utakuamulia mkuu
  9. B

    Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

    Hiyo bosi wake ni me au ke?
  10. B

    Nataka kutoka kwenye hii aibu

    Yani hili swala la wanandoa kuishi mbalimbali ni chanzo cha kuharibu ndoa nyingi
  11. B

    Ukijijua una kasura kako private

    Wanasema eti sura"personal" hatari sana
Back
Top Bottom