Ili kuchambua hayo maombi 91,000 inabidi uwe na watu si chini ya 1,000 ambao wangeyapitia moja moja na kuchuja kwa muda uliokuwa umepangwa ambapo pia Wizara ingetumia gharama kubwa kuendesha huo mchujo. Wakati kwa njia ya kielektroniki iliyotumika unahitajika uwe na watu kama watano tu kufanya...
Tafuta mtu mwingine wa kushindana nae kwa hoja kijana huyo Yericko siyo size yako kabisa. Kama unaweza kushauriwa shaurika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini mmechukua ushauri wake wowote anaoutoa bungeni? Kila akishauri mnaishia kumkejeli na kumtukana. Leo yamewakuta ndio mnataka ushauri wake!!!!!
Kweli Tz hauachi kushangaa!!
Huyo Mwenyekiti na hao Madiwani hawana majina? Na hizo kata zao nazo hazina majina?
Mtoa mada tafadhali ipe uzito habari yako kwa kutaja majina wahusika na maeneo yao vinginevyo habari yako inaonekana ni ya kupikwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.