Recent content by Bomoabomoa

  1. B

    Siku za Rais Kagame zinahesabika. Je, atakimbilia Tanzania?

    Anayeua naye atakufa tu hakuna binadamu atakayeishi milele. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    Mahojiano ya Abdul Nondo: Umuhimu wa vyama pinzani kuungana

    Nimefika mahali nimeacha kusoma nyuzi za huyu kijana nimeona bora nisome komenti tu. Ana hoja za kulazimisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. B

    Shirika la posta lapoteza 1.2 billion ndani ya siku 18 tu

    Ili kuchambua hayo maombi 91,000 inabidi uwe na watu si chini ya 1,000 ambao wangeyapitia moja moja na kuchuja kwa muda uliokuwa umepangwa ambapo pia Wizara ingetumia gharama kubwa kuendesha huo mchujo. Wakati kwa njia ya kielektroniki iliyotumika unahitajika uwe na watu kama watano tu kufanya...
  4. B

    Yericko Nyerere nitaendelea kupinga upotoshaji wako wenye lengo la kugawa umoja kwa vya pinzani,Mimi Kama mwanademokrasia huru.

    Tafuta mtu mwingine wa kushindana nae kwa hoja kijana huyo Yericko siyo size yako kabisa. Kama unaweza kushauriwa shaurika. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    .. Opposition Is In Disarray.

    Hivi wewe ni Maggid Mjengwa yule yule mchambuzi nguli wa siasa au kuna mtu anatumia jina lako? Sasa ndo umeandika nini mkuu?
  6. B

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Lini mmechukua ushauri wake wowote anaoutoa bungeni? Kila akishauri mnaishia kumkejeli na kumtukana. Leo yamewakuta ndio mnataka ushauri wake!!!!! Kweli Tz hauachi kushangaa!!
  7. B

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    Kujipendekeza kupi sasa? Kwani hatudaiwi? Kwani ndege haijazuiwa? Mbona una ushabiki wa kindezi hivyo?
  8. B

    CHADEMA yote Kimya, mpaka rais Magufuli aongee!!

    Unataka kuaminisha wasomaji kwamba wewe ni kamanda wa CDM. Ila bahati mbaya ni kwamba vidole, akili na moyo wako havina ushirikiano.
  9. B

    KENYA: Gari moja ya msafara wa rais Uhuru Kenyatta yapata ajali

    Hizi zinaweza zikawa figisu from the neighboring country.
  10. B

    Hatimaye Tundu Lissu kawachezesha watesi wake singeli na singeli remix

    Mie Miezi 4 tu mbona Mandela alikaa miaka 27. Wakati mwingine ni bora tu ungekaa kimya.
  11. B

    Uko wapi uzalendo wa Tundu Lissu kwa Nchi yake?

    Nimekuelewa sana!!
  12. B

    Uongozi wa CHADEMA Ukerewe wahamia CCM jioni hii

    Huyo Mwenyekiti na hao Madiwani hawana majina? Na hizo kata zao nazo hazina majina? Mtoa mada tafadhali ipe uzito habari yako kwa kutaja majina wahusika na maeneo yao vinginevyo habari yako inaonekana ni ya kupikwa.
  13. B

    Nani kama Magufuli? Hakuna na nasema tena hakuna mbadala wake

    Najua hiyo ilikuwa ni ndoto, haya ndoto imeisha endelea na majukumu yako kaka. Bahati mbaya mambo yako vilevile tena ndo yanazidi kuwa mabaya zaidi.
  14. B

    Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

    Ngoja siku ukitekwa wewe na sisi tukae kimya na vyombo vyote vya habari vikae kimya ili tuwakomoe magaidi.
Back
Top Bottom