Recent content by bombu

  1. bombu

    Mtanie wa juu yako

    Wa juu yangu???[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  2. bombu

    Wakurya na kiswahili

    Hibhii hiyo uchi inaghucha haichiii?? Tumengocha mbaka tumechoka mura
  3. bombu

    Mambo ya ajabu uliyowahi kufanya ukiwa shule ya msingi

    Kuiba mapera shambani. Ila siku nilipokamatwa na mwenye shamba ndo ilikuwa mwisho
  4. bombu

    Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

    Mwalimu Kimasa Nganza. Duh! Alikuwa anapiga fimbo yule jamaa ni balaa hahahaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bombu

    Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

    Hahaaa mwalimu Kitoko, umenichekesha kweli. Nilikuwa naishi mitaa ya jirani na TRM Sec enzi hizo haha, sifa zake zilikuwa zinavuma lol Sent using Jamii Forums mobile app
  6. bombu

    Inaonekana mke wa roma mkatoliki ni mke bora

    Kila.mwanaume hupewa mke wa kufanana naye. Tatizo wanaume wa siku hizi wanatafuta kufanana na wake zao badala ya wake kufanana na waume zao. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bombu

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Niko hapa Waterloo njoo nikubadilishie lol Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bombu

    taja mambo matati ambayo unatamani ufanyiwe na best wako

    Hapo hata hujasema mambo gani unataka akufanyie. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. bombu

    Tukumbushane miradi muhimu iliyoanzishwa na Kikwete lakini ikazikwa na Magufuli licha ya kuwa muhimu

    Uwekezaji wa viwanda kupitia "SPECIAL ECONONIC ZONES -SEZ". Mfano mzuri ni Bagamoyo SEZ na Kurasini. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. bombu

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    Ferouz- buriani Sent using Jamii Forums mobile app
  11. bombu

    Tabia za wanaume wafupi

    Ila wanajitumaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. bombu

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    Hao wenzenu wanoishi vipi ni akina nani? Passport is a valid identinty and can be used to identify a person if need arise anytime, anywhere because it is linked to ones personal information and finger prints. So can be used as an ID, and is being used as an ID worldwide. Sent using Jamii...
  13. bombu

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Hii hali ya sasa inatishia usalama wa taifa
Back
Top Bottom