Waseme tu makadilio na vifungu vyote vya bajeti za wizara zinahafikiwa, kisha CCM waseme ndiyo!!! Maana huwa sioni mantiki ya wabunge wa CCM kujadili najeti wakati wanahafiki kwa 100%! Bajeti yenyewe hafikiwi lengo kwa 16% katika makusanyo, tofauti na kipindi cha J.K 6%
Sent using Jamii Forums...
Tayari Gwajima ameshatake advantage ya tukio la asili na kawaida kabisa ( zodical light) kuwa ni ishara ya kujibiwa maombi na kuisha kwa korona!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wengi mnayochingi maoni, hamna uelewa juu ya elimu ya unajimu, jiografia na fizikia! Poleni sana endeleeni kutumia hisia za kiimani kutafsiri mambo, lakini si ajabu ndiyo uafrica baada ya ukoloni! Tulikuwa na akili kabla ya ukoloni, baada ya hapo , akili zetu za kiimani imani tu!
Sent...
Binafsi kabla sijampa ushauri au kumsaidia kijana awe binti au mvulana ni lazima ni muulize unaishi compus au offcompus, kama ni offcompus utapata tabu sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajichojua : Vyote vyenye dhamani vimehifadhiwa na kustiliwa vizuri: Dhahabu huchimbwa chini na imefunikwa na miamba, rubi inaptika chini ya bahari!! Mungu humhifadhi na kumheshimisha yule mwenye matendo ya uadifu, heshima na haki! Kamwe Mungu hawezi kukupa ndoa yenye baraka wakati ulisha ishi...
Si kweli, mchina hasipo tumia iphone anaona hana simu kabisa! Pia Huawei ni brand ndogo sana kwa china, zipo matata zaidi na zinafanya vizuri katika soko la china!! Na utambue kuwa iphone pia uzalishwa china na kampuni tanzu ya iphone! iphone Black Diamond ndiyo simu yenye bei zaidi kuzidi gari...
Je, miradi mikubwa ya miundo mbinu kuendelea kuwekezwa Dsm ndiyo dhima ya mabaliko ndani ya CCM au ni kukosa mikakati na mipango mahususi kumkwamua maskini? Tunajua wazi asilimia zaidi ya 90 ya watanzania tunaishi mikoani tunanufaika nini na uwekezaji huu , kwa tufungishwe mkanda kwa raha za...
Kama wakati CCM inajitekenya na kucheka yenyewe ni wakati huu, Chaguzi zimejaa vitisho vya polisi na usalama wa taifa! Wasimamizi wanapigwa biti na kutishiwa kuuwa, kufukuzwa kazi kama hawaipitisha CCM, leo hii karatasi ya majumuisho ya kula inayosomwa na mkurugenzi au msimamizi mkuu wa kata...
Hapa ndipo unaona madhara ya kuleta siasa wakati wewe ni mtaalamu, yani msomi mzima unaona kizuri ni kile ulichofanya wewe tu! Tulisha toka kwenye tatizo la multiple admision, sasa tumerudishwa nyuma kiteknolojia !! Nadhani kama wasomi walipaswa kufanyia kazi mapungufu machache ktk mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.