Recent content by bombadier

  1. B

    JamiiForums Tanzania Gharama za kutoa gari Zanzibar 2022

    Watu ambao hamajawayi miliki virus vya moto mna maneno sana,,,
  2. B

    JamiiForums Tanzania Elibariki Kingu: Wabunge wa CCM tutafia Bungeni tukipitisha bajeti kwa maslahi ya nchi

    Waseme tu makadilio na vifungu vyote vya bajeti za wizara zinahafikiwa, kisha CCM waseme ndiyo!!! Maana huwa sioni mantiki ya wabunge wa CCM kujadili najeti wakati wanahafiki kwa 100%! Bajeti yenyewe hafikiwi lengo kwa 16% katika makusanyo, tofauti na kipindi cha J.K 6% Sent using Jamii Forums...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa ajabu wa Jua leo Dar es Salaam saa 12:10 jioni, rangi ipo Kama nyekundu au Chungwa

    Tayari Gwajima ameshatake advantage ya tukio la asili na kawaida kabisa ( zodical light) kuwa ni ishara ya kujibiwa maombi na kuisha kwa korona! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwanga wa ajabu wa Jua leo Dar es Salaam saa 12:10 jioni, rangi ipo Kama nyekundu au Chungwa

    Naona wengi mnayochingi maoni, hamna uelewa juu ya elimu ya unajimu, jiografia na fizikia! Poleni sana endeleeni kutumia hisia za kiimani kutafsiri mambo, lakini si ajabu ndiyo uafrica baada ya ukoloni! Tulikuwa na akili kabla ya ukoloni, baada ya hapo , akili zetu za kiimani imani tu! Sent...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

    Kuhusu uhalali wa muungano, someni kitabu cha KWAHERI MKOLONI KWA HERI UHURI kilicho andikwa na Dr. ghansari Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Mleta Mada ni pumba kabisa.. Hivi haujui yaliyojili ktk koroshow? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    JamiiForums Tanzania Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

    Stupid ! Wewe lazima ni malaya!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    JamiiForums Tanzania Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

    Binafsi kabla sijampa ushauri au kumsaidia kijana awe binti au mvulana ni lazima ni muulize unaishi compus au offcompus, kama ni offcompus utapata tabu sana!! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    JamiiForums Tanzania Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

    Wajichojua : Vyote vyenye dhamani vimehifadhiwa na kustiliwa vizuri: Dhahabu huchimbwa chini na imefunikwa na miamba, rubi inaptika chini ya bahari!! Mungu humhifadhi na kumheshimisha yule mwenye matendo ya uadifu, heshima na haki! Kamwe Mungu hawezi kukupa ndoa yenye baraka wakati ulisha ishi...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa rais JP Magufuli na dhana ya mjenga nchi ni mwananchi.

    Sahihisho: Mlipaji kodi mkubwa na mwaminifu wa nchi hii ni mfanyakazi !!
  11. B

    JamiiForums Tanzania Krismasi na Mwaka Mpya: Mshahara ni Jumatatu Disemba 24 , 2018

    Haaaaaaaaaah, pole sana ndgu yangu! Nitakukopesha!
  12. B

    JamiiForums Tanzania Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

    Si kweli, mchina hasipo tumia iphone anaona hana simu kabisa! Pia Huawei ni brand ndogo sana kwa china, zipo matata zaidi na zinafanya vizuri katika soko la china!! Na utambue kuwa iphone pia uzalishwa china na kampuni tanzu ya iphone! iphone Black Diamond ndiyo simu yenye bei zaidi kuzidi gari...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Miradi Mikubwa Kuendelea Kuwekezwa DSM

    Je, miradi mikubwa ya miundo mbinu kuendelea kuwekezwa Dsm ndiyo dhima ya mabaliko ndani ya CCM au ni kukosa mikakati na mipango mahususi kumkwamua maskini? Tunajua wazi asilimia zaidi ya 90 ya watanzania tunaishi mikoani tunanufaika nini na uwekezaji huu , kwa tufungishwe mkanda kwa raha za...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Selemani Bungara "Bwege" atiwa mbaroni na Polisi

    Kama wakati CCM inajitekenya na kucheka yenyewe ni wakati huu, Chaguzi zimejaa vitisho vya polisi na usalama wa taifa! Wasimamizi wanapigwa biti na kutishiwa kuuwa, kufukuzwa kazi kama hawaipitisha CCM, leo hii karatasi ya majumuisho ya kula inayosomwa na mkurugenzi au msimamizi mkuu wa kata...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Utaratibu mpya kwa Waombaji waliochaguliwa Chuo zaidi ya kimoja

    Hapa ndipo unaona madhara ya kuleta siasa wakati wewe ni mtaalamu, yani msomi mzima unaona kizuri ni kile ulichofanya wewe tu! Tulisha toka kwenye tatizo la multiple admision, sasa tumerudishwa nyuma kiteknolojia !! Nadhani kama wasomi walipaswa kufanyia kazi mapungufu machache ktk mfumo...
Back
Top Bottom