Sio ajielew inawezekana waliopita apo wanemuona ni pasua Kichwa tatizo lao walioenda ktk Ilo kongamano ni sawa na mtu alijikwaa alafu akachukia pale alipodondokea lakin alitakiwa aangalie nn kilichomuangusha ili ajifunze.
M/mungu anasema oeni mwanamke kwa mambo manne!!!1-dini yake 2-uzuri wake 3-umri wake 4-nasaba au ukoo wake.Sasa wanawake wa sasa wamepoteza izo sifa asa sifa namba 1 ambayo ndo sifa muhimu kuliko sifa zote.
Kumbe ndo maana m/mungu alipanga mume mmoja kwa wake wanne alijua kuna uhaba wa wanaume ivyo lazima wanawake wastiliwe kwa njia iyo.duuuuuuuh kweli mungu mjuzi.
Anayefanya vizuri mazoezini ndio anayepangwa katika mechi kwa iyo mabek 3 ni kama wachezaji wanaotafuta namba katika kikosi cha kwanza ndo maana wanajituma sana katika kazi na hapo makocha tunapoamua kuwapa namba katika kikosi cha kwanza waoneshe ujuzi wao wale wenye kuchezea majina yao...
Mm sasa ivi nimeshajiandaa kisaikolojia maana nilipata dem alafu nikawa napiga nasepa mara ya 3 nikaanza kusikia natangaziwa sina nguvu za kiume nikaumiza kichwa nikagundua kumbe simpi vitu alivyovitaka maana alianza beby"nadaiwa kodi ya miezi 3,sina feni ata tv cna yaan nikiingia ndani...
Daaaaah ila kila baada ya mistari miwili gudume unakazia muonane halafu autaki awepo mtu mwingine zaid ya nyinyi tu wawili,Ila kiukweli kakukosea sana aombe radhi adhalani uyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.