Yani hapa jf huwa kuna watu wana habari nyingi na wanafahamu mambo mengi.Mfano magari yanayokimbizwa sana lkn viongozi hawaoni taarifa hizi wazifanyie kazi?wakati tunao wengi hapa jf.Inakera sana
Hata wanaojiona wamesoma sana.wanashinda mitandaoni wakitafuta vyeo.Wakishapata,utasikia vijana mjiajiri kuna fursa nyingi.Wakiachishwa wao hawawezi kulima hata bustani ya mchicha.Maskini Tanzania siasa zinatuangamiza kiakili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.