Recent content by Boly-ago

  1. B

    Tecno Y3+ inauzwa kama spare.

    Chukua 20 elfu.
  2. B

    Car4Sale Kiwanja bei poa

    Bei nzuri lkn vp mafuriko ya airport au kipo sehemu salama?Nipo Dar naweza mtuma ndugu yangu akaja kuona
  3. B

    Ajali Mbili: Basi la NBS kutoka Dar - Tabora na Basi la Kisbo, yamepata ajali Morogoro

    Yani hapa jf huwa kuna watu wana habari nyingi na wanafahamu mambo mengi.Mfano magari yanayokimbizwa sana lkn viongozi hawaoni taarifa hizi wazifanyie kazi?wakati tunao wengi hapa jf.Inakera sana
  4. B

    Nauza eneo langu la ekari moja na nusu Chanika

    Umbali gani kutoka chanika mjini?
  5. B

    Nauza eneo langu la ekari moja na nusu Chanika

    Weka bei upewe pesa
  6. B

    Nauza madirisha(mninga)

    Mangapi mkuu
  7. B

    Tunauza duka la rejareja, lina mtaji wa 5m

    Weka namba ya simu nitakutafuta.
  8. B

    Tanzia: Askari Trafiki Namba F1839 Ali Kinyogori, auawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulika

    R.I.P Afande Kinyogori Yanga tutakumis Sana.pole familia ya Afande.Mungu amlaze mahali pema.
  9. B

    Bukoba kuipiku Dubai kwa miundombinu kabla ya 2017

    Mleta mada hajatukana.lkn wachangiaji ni mitusi tu. Unaweza kutoa mawazo bila kutukana.
  10. B

    Kwanini Jamhuri iliyomshitaki kijana Issack isimshitaki mke wa waziri huyu?

    Hata wanaojiona wamesoma sana.wanashinda mitandaoni wakitafuta vyeo.Wakishapata,utasikia vijana mjiajiri kuna fursa nyingi.Wakiachishwa wao hawawezi kulima hata bustani ya mchicha.Maskini Tanzania siasa zinatuangamiza kiakili.
  11. B

    Hoja ya kuuzwa nyumba za Serikali ni uvivu wa kufikiri

    Nahisi harufu ya jela hapa, jadilini kwa uangalifu mkubwa.
  12. B

    CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

    Mapro wengi hawjiamini wanaishi kwa kutegemea huruma ya viongozi wa siasa.
Back
Top Bottom