Mie nshawahi kutwa na vitu kibao yani
1. Nilikutwa na condom mbili zilizotumika nikamsingizia jamaa aliyekuwa anamfahamu ingawa jamaa alikuwa na geto lake, demu akanza kumchukia sana Yule mshkaji kwamba sio mstaharabu anakuja na demu wake kwene geto langu alafu anaacha miuchafu yake kwene kabati...
Mie ni mwanaume mwenye miaka 30, nahitaji mwanamke wakuzaa nae, awe mwenye umbo saizi ya kati, anaejielewa, mweupe wa asili, mrefu kiasi, aliye tayari kuzaa, umri miaka 25 hadi 30. Aliye serious ani pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.