Recent content by Bolloyank

  1. B

    Mtoto wa mke wangu amenishinda, anaelekea kuvunja ndoa yetu

    hata hivo umevumia mi mbona namuua kabisa
  2. B

    Kazi anahtajika haraka

    Mshahala sh.ngapi na wapi kituo cha kazi?
  3. B

    Na huyu naye kasema nisubiri, je mambo hayatakuwa kama yale?

    Tafuta mwingine we we umri wote huo bado una danganywa kitoto hivo
  4. B

    Kumbe Dar matapeli wengi?

    ulimfahamu vipi huyo mtu? na mpaka mkamtumia pesa pspo kufika kwanza?
  5. B

    Mwanaume kuvaa chupi ya mwenza wako imekaaje?

    hata Mimi nimeshangaa bana!
  6. B

    Nimemzidi umri kwa miaka 12

    miaka 44 hujazaa? we Ndo basi tena una mwaka mmoja tu mbele Wa kustop hata Ku breed ni miaka 45 mwanake uzazi kush neh!
  7. B

    Mwanaume kuvaa chupi ya mwenza wako imekaaje?

    haaaa! kidume unavaa chupi? kengere zinakaa wapi sasa zitakosa parking! duuuh sijawahi kuivaa na sidhani kama itatokea...
  8. B

    I'm looking 4 a girlfriend

    karibu Jf kijana
  9. B

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    daaah Huuu ni usengerma kabisa had I Payslip yangu inamhusu nini sasa, Naunga mono kuachana na huyo mwanamke mtwange talaka 3 mchana kweupe halafu wazazi wake watamtafutia mlokole mwenzie huko haiwezekani mwanangu umuachishe kunyonya miezi 3 huumwi wala kisa kanisa daa amaizing.Makanisa sasa...
  10. B

    Najuta kutongoza wanawake wa Dar!

    Kosa la wanawake wa Dar ni lipi sasa? Hayo si makosa yako mwenyewe
  11. B

    Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    wape talaka wote aende kijijini haiwezekani bana hata aibu hawana
  12. B

    Aliyenitoroka amerudi na mimba

    achana na huyo mwanamke akajifunze huko sio Mke huyo utakuwa huna akili za kiume kabisa kumrudisha ndani mtu Wa namba hiyo
  13. B

    Hataki kabisa tutumie Condom

    kuna mawili: 1.inawezekana huyo Dada ataka mimba kwa udinauvumba. 2.Pengine anataka akuambukize mdudu huyo
  14. B

    Mimi ni Askari, natafuta mke (umri 23-24yrs)

    kama kweli we Askali basi umeingizwa na mjomba!
  15. B

    Marafiki wa kuchart nao

    we we ni ke au me conferm
Back
Top Bottom