Kuna watu waliitisha press conference ooh, cjui tutashitakiwa na acacia kumbe wamepewa fedha na acacia ili wawasemeee angalieni leo acacia wamemfukuza kazi kiongozi wa juu kwa kuisababishia hasara kampuni. Hivi kweli msomi unanunuliwa kama nyapu na kunatumika kuiangamiza nchi yako na kizazi...
Hata ngiri huwa anaelewa kuwa anakimbizwa na simba ila anafika mahali anasahau kuwa alikuwa anafanya nini mwishowe anarudi kule alikotoka ndipo anakamatwa na simba kilaini.
Nyie veeepi acheni kuwa kama wanawake wa jikoni so nyie mnataka sis wa mkoa wa Geita tusipate kiwanja cha ndege. Mbona moshi kuna lami hadi chooni hatuongei. Mtapasuka na bado.
Nimezunguka mikoani cjaona mahali pameandikwa dawa ya kuongeza nguvu za kiume ila dar zimejaaa kibao kila kona kwa wale wenye mataitizo ya nguvu za kiume kwanini?
Korea ya kaskazini wapo sawa kabisa lakini benki ya dunia imewawekea vikwazo japo wanatetea maslahi ya wakorea. So WB ni wanafiki sana ikiwa unasimamia sheria vizur ukawa unawabana wasipate maslahi yao basi wewe haufai kwa uwekezaji.
Ccm ipo ngangari sema kina nyalandu walikuwa wanataka maisha ya umalaya sasa ***** hapa kazi tu hatunaga masihara na hizo mambo. Pole yako nyalandu. Turudishie ulivytuibia kipindi ulipo waziri.
Cdm mnaakili ndogo kama kuku kwani Acacia ndo nani. Acacia wamepangishiwa mgodi na Barrick na sio vinginevyo so Barrick can decide anything on the terms agreed na ndo maana hukuwaona wawakilishi wa acacia kwenye mazungumzo. Acheni kuwa vibaraka wa wazungu ambao wao wanapenda kutuona tukigombana...
Fear is ur own enemy. Wazungu huwa wanapenda sana unyonyaji na udanganyifu ukifanya jambo baya mwafrika bas watasema dunia nzima itajua ila mzungu akifanya bahati mbaya. Waache usenge kama vipi waondoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.