Recent content by bokoalamu

  1. B

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne 5 Agosti 2014, Mjadala wa Bunge Maalum la Katiba

    Kama ningekuwa miongoni mwa wajumbe la bunge la katiba ningeshauri kama ifuatavyo, kiukwel nimeona wajumbe wengi bado hawajaielewa rasimu kwasababu hata kama wana discuss kuhusu ardhi, haki za wanawake, ajira bila kujua mfumo wa utawala utakao yasimamia hayo mambo itakuwa shida ukiangalia swala...
  2. B

    CCM and UDASA, this is shameful

    Kiukwel mie nahisi watanzania tunahitaji elimu sana kuondoa mgando wa fikra, tunawezaje kuwa na wasomi ambao wanabailika badilika katika mawazo yao ambayo wameyaandika katika vitabu vyao mbalimbali? kiukwel mie kama mwanafunzi sijui nijifunze nini kutoka kwa hawa ma prof na ma dr ambao wanatuasa...
  3. B

    Hii ndiyo CV ya Idd Azzan

    Member of Parliament CV GENERAL Salutation Honourable Member picture First Name: Livingstone Middle Name: Joseph Last Name: Lusinde Member Type: Constituency Member Constituent: Mtera Political Party: CCM Office Location: Box 50, Dodoma Office Phone: +255 755...
  4. B

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Ila kiukwel prof. muhongo alivyofanya sio fair yan kutaka kusoma matokeo ya ole sendeka ya kidato cha nne mbele ya bunge kiukwel hili ni bonge la dharau, najua kuna wa2 wamejaliwa uwezo wa akili lakin haijafikia ha2a kama aliyoifanya prof.
  5. B

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Ila kiukwel prof. muhongo alivyofanya sio fair yan kutaka kusoma matokeo ya ole sendeka ya kidato cha nne mbele ya bunge kiukwel hili ni bonge la dharau, najua kuna wa2 wamejaliwa uwezo wa akili lakin haijafikia ha2a kama aliyoifanya prof.
  6. B

    Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

    Ni kweli kabisa maneno aliyoongea nape hata mimi mwenyewe hayajanifurahisha hata kidogo. Narudia japokuwa sio mfuasi wa chama chochote lakini nape anaposema mboye alienda Nairobi akapewa hela za kufanya mkutano kibanda maiti Zanzibar akatoa hela baadhi nyingine akaziweka mfukoni na kumtaka mboye...
  7. B

    Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

    Na declare interest mie sio mfuasi wa chama chochote tanzania ila kwa maneno haya ya nape ni kweli ccm wamedhamilia kuwamaliza kabisa ukawa na hizi zinaitwa siasa za maji taka, kwa sababu ukishatoa maneno ambayo yatazua mafarakano kati ya dr slaa, mbatia, mboye, katibu mkuu wa nccr mageuzi na...
  8. B

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Member of Parliament CV GENERAL Salutation Honourable Member picture...
Back
Top Bottom