Nashndwa niandike nn. Ila viongozi ni wabinafsi na wametudharau Hadi mwisho raia. Hadi nawaza Bora tusingekua na mfumo wa kuongozana Kila mtu aishi kivyake ila matatizo ya kijamii yatatuliwe na jamii husika mf familia, ukoo
Hv ndio hao marais walokole waliokoleza unyanyasaji wa watu weusi amba ni uzao wa watumwa? Ndo hao waliwaua viongozi wa watu weusi waliopigania haki za wenzao?
Aende tu, ukweli mpaka Sasa maendeleo makubwa ya nchi mf bwawa la mwal Nyerere, tren ya mwendokasi, ndege, hospital kubwa ni ukumbusho wa wa maono na msukumo wa JPM, NB SIJAMZUIA MTU KUMCHUKIA.... Je ni raisi yupi ambae serikali yake haikua na shutuma za mauaji na watu kupotea ? Mkapa...
Sasa hao wakuu wa koo si wanakua wanandoa? Wanapojamiiana kuunganisha koo zao wanakua wanaziasi ndoa zao[kuchepka]. Umesema Wengi wa viongozi ni wakike je ni nn kinafanyika kwamba huku atoke wa like na kule wakiume ndo amnufaike?
Daah shukran sana ndo namaliza kusoma hapa ulipoishia alfajir hii, napata funzo kubwa sana kuhusu ulimwengu usioonekana. Naamini kabisa hasa kulingana na uzoefu wa nloyapitia mpaka Sasa. Nakusubir
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.