Recent content by BOJAN BOJO

  1. BOJAN BOJO

    Msaada wa ushauri Nina mtaji nifanye biashara ipi wakuu

    Ni Nipo dar mzee kuhusu kufanya biashara mm binafsi bado ila nimeishawah kusimamia biashara na kuhusu changamoto zipo nyingi katika jamii zetu za kitanzania na hazitofautiani sana kwenye maeneo mengi zinafanana
  2. BOJAN BOJO

    Msaada wa ushauri Nina mtaji nifanye biashara ipi wakuu

    Wakuu poleni na majukumu ya kutwa ya leo nilikuwa naomba msaada wa mawazo na ushauri wenu nina laki 7 nifanye biashara ipi ambayo nitatoka msaada please
  3. BOJAN BOJO

    Natafuta kazi

    braza keep fighting hali sio nzuri kuna raia kibao wapo mtaani wanatafuta kazi na mimi nikiwa mmojawapo ila no kukata tamaa
  4. BOJAN BOJO

    Ulipataje kazi yako

    wakuu mbna mmetoka nje ya maada mwenzetu ametaka tueleze ni kwa namna gani kati yetu walioajiriwa walivyopata kazi,ila watu wamehama kwenye maada wamekomaa na ishu ya kuliwa mzigo kwa dada fulan mwanamke kuliwa mzgo kawaida tu ,,turudini kwenye maada husika
  5. BOJAN BOJO

    Wauza smartphone tukutane hapa

    samsung j1 for sale 180000 tsh check me on 0653768865 iko safi kabsa
  6. BOJAN BOJO

    Nawashauri vijana waliositishiwa ajira na wanaosubiri ajira mpya waandamane

    tatizo sio kuipigia ccm kura hata usipoipigia kura huwa inashinda kinguvu refer uchaguzi wa 2015 na 2010
  7. BOJAN BOJO

    Kama serikali imeshindwa kutoa ajira iseme ukweli, tumechoka!

    mzee magumashi bado anateua watu serikalini asipokuwa makini atajikuta anateua tu mpaka mwaka 2020
  8. BOJAN BOJO

    Rais Magufuli amteua Prof. Kitila A. Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji

    Huko juu watu wanazidi kuula tu mtu ana vitengo kibao ila anaongezewa vingine duuh magumashi amesahau kama kuna batch 3 ziko mtaani huu mwaka wa tatu serikali haiajiri,,mm mwenyewe ni mhanga ila nawaonea sana huruma walimu walomaliza vyuo wako mtaani
  9. BOJAN BOJO

    Yaliyojiri: Mkutano wa Wanahabari na Spika wa Bunge, Job Ndugai

    kwa hili kurugenzi ya habari ikulu imechelewa kutoa tamko kwamba habari zilizogaa mitandaon kuwa spika wa bunge atafanya mkutano na waandishi wa habari sio za kweli
Back
Top Bottom