ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Hatuumii chochote Dada ila kwa sasa ni kitu cha kawaidaWANAUME MNAJADILI UCHI WA MWANAMKE HATA KAMA NINGEKUWA NIMELIWA NYIE KINAWAUMA NINI?
Hatuumii chochote Dada ila kwa sasa ni kitu cha kawaidaWANAUME MNAJADILI UCHI WA MWANAMKE HATA KAMA NINGEKUWA NIMELIWA NYIE KINAWAUMA NINI?
wakuu mbna mmetoka nje ya maada mwenzetu ametaka tueleze ni kwa namna gani kati yetu walioajiriwa walivyopata kazi,ila watu wamehama kwenye maada wamekomaa na ishu ya kuliwa mzigo kwa dada fulan mwanamke kuliwa mzgo kawaida tu ,,turudini kwenye maada husika
AiseeeeMimi nina uzoefu mwingi katika swala zima la kutafuta Ajira, mbinu nyingine ni za kawaida/haki zingine ni za haramu. Na kuna wengi nimewasaidia either kwa ushauri tu kwa kuzingatia ABCD nilizowapa. Currently, mbinu ninayotumia kupata Kazi ni kuonana na mtoa kazi/bosi/mwajiri....sio CV, Portfolio, Uzoefu au Barua ndefu...changamoto yake ni Mapokezi/Reception/Walinzi, wengi watakuzuia ati hadu uwe na appointment na mtu unayetaka kumuona...
.lakini nikishavukaga hicho kipengele, ole mwajiri nimtie machoni na nishushe madini....HANIACHI NA KESHO YAKE HUWA NAANZA KAZI. Kwahiyo mbinu hii huwa naiita ni Siraha ya Kisaikolojia, Saikolojia ambayo nimeivuna kwa miaka kama 4 hivi ya utafutaji kazi. Yaani siku hizi hata huwa sisomi maswali mapya ambayo HR huwa wanagoogle na kuniandalia, au kubabaika na walivyojipanga....yaani kabla hajamaliza swali, tayari jibu ninalo ambalo litamoderate swali lake la pili!!!! patamu hapo.....so kazi nyingi huwa nazikosa either kwasababu ya formality tu, yaani tayari wana mtu wao lakini ukiondoam watasemezana " dah...hiki kichwa kilistahili kuwa hapa sema ndo ivyo mtoto wa bosi hana kazi!"
Pamoja mbinu hiyo, huwa nina hakikisha document zote zipo ready, yaani CV, barua, vyeti, recommendation letters, referrees (ambao mara nyingi huwa ni washkaji zangu ambao nimeshawalisha madini. maana ndugu au waajiri waliopita wameshachoka kila siku kusumbuliwa). Marafiki huwa nina wapanga "eb bhana ee, ni aje ninja wangu, utapigiwa simu na HR, mwambie Nyankunde namjua ni mchapa kazi, mpeni kazi...siwezi kuongea sana kwa sasa maana nipo kwenye Kikao!" mchezo kwisha.
Njia ya tatu ni haramu, but nani ambae sio haramu kwasasa?? NANI???....kila kitu ni feki. Nina dokta rafiki yangu na hata juzi alionekana kwa TV akinadi product zake, sasa nilipokuwa namfanyia kazi yake akasema" hivi km mkuu wa mkoa an vyeti vyeki lakini ameweza kuwa mkuu wa mkoa, kwanini mm nishindwe kuwa dokta??!!.....nilicheka sana, na nilitafakari kwa jicho la 3.
Nnjia hii inapita kwenye uvuvio huohuo niliouchanganua hapo juu japo sifa yake kubwa ni "Confidence", yaani ni sawa sawa na kufanya kosa lakini bado ujione mwenye haki na unastahili...yaani kile kitu kinaitwa dhambi/uongo/guilty/karma uone ni kama miradi ya wapiga dili tu lakini hizo vitu havipo (thi is my current mentality of course). Njia hii ni VYETI FEKI. yaani unamktuta mtu ana uzoefu na kazi flani, au graduate wa form six mwenye uwezo kabisa wa kufundisha watoto wa Secondary kwenye International School....ila kwakuwa hana vyeti vya ngazi za juu, mavyeti ya recognition, recommendation letters n.k., ataishia kupauka tu.
Sasa mimi nilisolve swala hilo kwa kujifunza Graphic Design/Digital Imaging, nikiri tu wazi hadi sasa kuna watu wapo kwenye ajira na wananizidi hela kwasababu nilispend the whole night to just get that IFM Certificate right just like the original one! na ndio wanaoniweka mjini maana nina siri zao. Sasa utaniuliza; vipi kuhusu NECTA, coz jina lazima liwe kwenye sytem yao n.k.....au vyeti vya siku hizi vinatoka na passport size....!! Hii siri siitoi, madude mengine ntashusha siku ingine.
Kufoji vyeti sipendi ila ni njaa tu wandugu, ila kwasasa nimeridhika na ajira niliyonayo. Ila WARNING KWA WANAFUNZI WA VYUO: acheni kusccan vyeti vyenu kwenye stationary zilizo karibu na Vyuo vyenu, watu huwa tunakuja na vifrash vyetu tulivyoagiza kutoka India, nikiingia pale nanyonya data za Stationary nzima *****....nikrudi gheto najichagulia jina zuri hahahaha!....hii ni mojawapo tu ya mbinu ya watu KASOMEA JINA HILI, KAAJIRIWA KWA JINA HILI...kumbe aliwaona wataalamu hahahah!
Pia nyie NECTA na viportal vyenu vya kuverify nyaraka, zuieni Mirroring za Portal zenu.
#I'mOut

Aiseeehaha anaota nilitafutiwa na na bibie mmoja niliyefanyanaye kazi japo huko nyuma tulikorofishana lakini akanisaidia baada ya kuona nimepigika ,,,,,,,,,, katika kampuni yoyote ninayofanya kazi sitoi uchi... ni chanzo cha kunyanyaswa na kufukuzwa muda wowotw wanaotaka
by the wway anayenila mzigo yumo humu humu jf hahaha
Lecture wanaangalia vgezo vng mno, jarib kutafta assistance accountantNasubiri nione njia mlizopitia wenzangu huenda na mm nkajifunza kitu
Kutafuta kazi kuna vunja moyo,,bora hata waniite kwny interview niseme nlishindwa mwenyew ila siitwi..![]()
I dream to be a lecturer n I thank God GPA yangu inaniruhusu.
Area of profession-Accountancy.
Vigezo kama vipi?Lecture wanaangalia vgezo vng mno, jarib kutafta assistance accountant
Kwamfano kuna kigezo kama first year ulipata GPA chin ya 3.8 hawakuchukui, vpo vng vdgo vdgo so ukifatilia vzr huend ukajua kipi kinakunyma usipateVigezo kama vipi?
Kwamfano kuna kigezo kama first year ulipata GPA chin ya 3.8 hawakuchukui, vpo vng vdgo vdgo so ukifatilia vzr huend ukajua kipi kinakunyma usipate
Una elimu ya kiwango gani? Nadhani unaweza fanya hiviSijawahi kuapply ndo maana sijapata![]()
G.P.A ninayo..I mean it!!!
Najua wanachukua 3.8 and above
Kumbe we mwanamke, unaliwa hahahahahaha anaota nilitafutiwa na na bibie mmoja niliyefanyanaye kazi japo huko nyuma tulikorofishana lakini akanisaidia baada ya kuona nimepigika ,,,,,,,,,, katika kampuni yoyote ninayofanya kazi sitoi uchi... ni chanzo cha kunyanyaswa na kufukuzwa muda wowotw wanaotaka
by the wway anayenila mzigo yumo humu humu jf hahaha
Una elimu ya kiwango gani? Nadhani unaweza fanya hivi
1: Kama hujamasoma mastaz tafuta chuo, jiunge kusomea acountancy huku ukifanya vizuri darasan, kwenye mijadala na ukitengeneza network vizuri chuoni hapo. Ni rahisi zaidi chuo kukubakisha hasa kama utakuwa ulisoma kwao, ikiwezekana kweye chuo ulichosomea degree yako ya kwanza ingekurahisishia zaidi.
Ama;
2: Tafuta/ vyuo vya private kisha najiribu kuomba nafasi ya part time, ikishindikana jitolee kidogo hapo utajenga network na uzoefu ambavyo vitakusaidia one day. Fika mwenyewe kwenye chuo husika, ukiwa na document zako zote na omba kuonana na wahusika wa kuu kisha jieleze vizuri. Usipeleke tu barua ukasubiri kuitwa, unaweza usiitwe kabisaaaa.
Kila la kheri.
Nafikiri unafanya jombo zuri zaidi. CPA ni muhimu sana kwa watu wa taaluma hiyo. Kwahiyo endelea tu bila shaka itafungua milango mingi zaidi.Ahsantee kwa ushauri..
Nahangaika na kitu kinaitwa CPA..
Masters budget ndefu kidogo..
Ntajaribu ku-implement ushauri wako..ila vyuoni wanaruhusu mtu kujitolea kweli?!
Acha niwe Bashite kwa kuquote uzi wote kaka upo vizuriiMimi nina uzoefu mwingi katika swala zima la kutafuta Ajira, mbinu nyingine ni za kawaida/haki zingine ni za haramu. Na kuna wengi nimewasaidia either kwa ushauri tu kwa kuzingatia ABCD nilizowapa. Currently, mbinu ninayotumia kupata Kazi ni kuonana na mtoa kazi/bosi/mwajiri....sio CV, Portfolio, Uzoefu au Barua ndefu...changamoto yake ni Mapokezi/Reception/Walinzi, wengi watakuzuia ati hadu uwe na appointment na mtu unayetaka kumuona...
.lakini nikishavukaga hicho kipengele, ole mwajiri nimtie machoni na nishushe madini....HANIACHI NA KESHO YAKE HUWA NAANZA KAZI. Kwahiyo mbinu hii huwa naiita ni Siraha ya Kisaikolojia, Saikolojia ambayo nimeivuna kwa miaka kama 4 hivi ya utafutaji kazi. Yaani siku hizi hata huwa sisomi maswali mapya ambayo HR huwa wanagoogle na kuniandalia, au kubabaika na walivyojipanga....yaani kabla hajamaliza swali, tayari jibu ninalo ambalo litamoderate swali lake la pili!!!! patamu hapo.....so kazi nyingi huwa nazikosa either kwasababu ya formality tu, yaani tayari wana mtu wao lakini ukiondoam watasemezana " dah...hiki kichwa kilistahili kuwa hapa sema ndo ivyo mtoto wa bosi hana kazi!"
Pamoja mbinu hiyo, huwa nina hakikisha document zote zipo ready, yaani CV, barua, vyeti, recommendation letters, referrees (ambao mara nyingi huwa ni washkaji zangu ambao nimeshawalisha madini. maana ndugu au waajiri waliopita wameshachoka kila siku kusumbuliwa). Marafiki huwa nina wapanga "eb bhana ee, ni aje ninja wangu, utapigiwa simu na HR, mwambie Nyankunde namjua ni mchapa kazi, mpeni kazi...siwezi kuongea sana kwa sasa maana nipo kwenye Kikao!" mchezo kwisha.
Njia ya tatu ni haramu, but nani ambae sio haramu kwasasa?? NANI???....kila kitu ni feki. Nina dokta rafiki yangu na hata juzi alionekana kwa TV akinadi product zake, sasa nilipokuwa namfanyia kazi yake akasema" hivi km mkuu wa mkoa an vyeti vyeki lakini ameweza kuwa mkuu wa mkoa, kwanini mm nishindwe kuwa dokta??!!.....nilicheka sana, na nilitafakari kwa jicho la 3.
Nnjia hii inapita kwenye uvuvio huohuo niliouchanganua hapo juu japo sifa yake kubwa ni "Confidence", yaani ni sawa sawa na kufanya kosa lakini bado ujione mwenye haki na unastahili...yaani kile kitu kinaitwa dhambi/uongo/guilty/karma uone ni kama miradi ya wapiga dili tu lakini hizo vitu havipo (thi is my current mentality of course). Njia hii ni VYETI FEKI. yaani unamktuta mtu ana uzoefu na kazi flani, au graduate wa form six mwenye uwezo kabisa wa kufundisha watoto wa Secondary kwenye International School....ila kwakuwa hana vyeti vya ngazi za juu, mavyeti ya recognition, recommendation letters n.k., ataishia kupauka tu.
Sasa mimi nilisolve swala hilo kwa kujifunza Graphic Design/Digital Imaging, nikiri tu wazi hadi sasa kuna watu wapo kwenye ajira na wananizidi hela kwasababu nilispend the whole night to just get that IFM Certificate right just like the original one! na ndio wanaoniweka mjini maana nina siri zao. Sasa utaniuliza; vipi kuhusu NECTA, coz jina lazima liwe kwenye sytem yao n.k.....au vyeti vya siku hizi vinatoka na passport size....!! Hii siri siitoi, madude mengine ntashusha siku ingine.
Kufoji vyeti sipendi ila ni njaa tu wandugu, ila kwasasa nimeridhika na ajira niliyonayo. Ila WARNING KWA WANAFUNZI WA VYUO: acheni kusccan vyeti vyenu kwenye stationary zilizo karibu na Vyuo vyenu, watu huwa tunakuja na vifrash vyetu tulivyoagiza kutoka India, nikiingia pale nanyonya data za Stationary nzima *****....nikrudi gheto najichagulia jina zuri hahahaha!....hii ni mojawapo tu ya mbinu ya watu KASOMEA JINA HILI, KAAJIRIWA KWA JINA HILI...kumbe aliwaona wataalamu hahahah!
Pia nyie NECTA na viportal vyenu vya kuverify nyaraka, zuieni Mirroring za Portal zenu.
#I'mOut
iko poa tutaongea pmLazima kalaa hawa wanawake hawaBila shaka kishakula mzigo maana si kwa kiherehere hicho!
Kaka nimekuelewa sana ngoja niingie machimbo only job here!!!!Mimi nina uzoefu mwingi katika swala zima la kutafuta Ajira, mbinu nyingine ni za kawaida/haki zingine ni za haramu. Na kuna wengi nimewasaidia either kwa ushauri tu kwa kuzingatia ABCD nilizowapa. Currently, mbinu ninayotumia kupata Kazi ni kuonana na mtoa kazi/bosi/mwajiri....sio CV, Portfolio, Uzoefu au Barua ndefu...changamoto yake ni Mapokezi/Reception/Walinzi, wengi watakuzuia ati hadu uwe na appointment na mtu unayetaka kumuona...
.lakini nikishavukaga hicho kipengele, ole mwajiri nimtie machoni na nishushe madini....HANIACHI NA KESHO YAKE HUWA NAANZA KAZI. Kwahiyo mbinu hii huwa naiita ni Siraha ya Kisaikolojia, Saikolojia ambayo nimeivuna kwa miaka kama 4 hivi ya utafutaji kazi. Yaani siku hizi hata huwa sisomi maswali mapya ambayo HR huwa wanagoogle na kuniandalia, au kubabaika na walivyojipanga....yaani kabla hajamaliza swali, tayari jibu ninalo ambalo litamoderate swali lake la pili!!!! patamu hapo.....so kazi nyingi huwa nazikosa either kwasababu ya formality tu, yaani tayari wana mtu wao lakini ukiondoam watasemezana " dah...hiki kichwa kilistahili kuwa hapa sema ndo ivyo mtoto wa bosi hana kazi!"
Pamoja mbinu hiyo, huwa nina hakikisha document zote zipo ready, yaani CV, barua, vyeti, recommendation letters, referrees (ambao mara nyingi huwa ni washkaji zangu ambao nimeshawalisha madini. maana ndugu au waajiri waliopita wameshachoka kila siku kusumbuliwa). Marafiki huwa nina wapanga "eb bhana ee, ni aje ninja wangu, utapigiwa simu na HR, mwambie Nyankunde namjua ni mchapa kazi, mpeni kazi...siwezi kuongea sana kwa sasa maana nipo kwenye Kikao!" mchezo kwisha.
Njia ya tatu ni haramu, but nani ambae sio haramu kwasasa?? NANI???....kila kitu ni feki. Nina dokta rafiki yangu na hata juzi alionekana kwa TV akinadi product zake, sasa nilipokuwa namfanyia kazi yake akasema" hivi km mkuu wa mkoa an vyeti vyeki lakini ameweza kuwa mkuu wa mkoa, kwanini mm nishindwe kuwa dokta??!!.....nilicheka sana, na nilitafakari kwa jicho la 3.
Nnjia hii inapita kwenye uvuvio huohuo niliouchanganua hapo juu japo sifa yake kubwa ni "Confidence", yaani ni sawa sawa na kufanya kosa lakini bado ujione mwenye haki na unastahili...yaani kile kitu kinaitwa dhambi/uongo/guilty/karma uone ni kama miradi ya wapiga dili tu lakini hizo vitu havipo (thi is my current mentality of course). Njia hii ni VYETI FEKI. yaani unamktuta mtu ana uzoefu na kazi flani, au graduate wa form six mwenye uwezo kabisa wa kufundisha watoto wa Secondary kwenye International School....ila kwakuwa hana vyeti vya ngazi za juu, mavyeti ya recognition, recommendation letters n.k., ataishia kupauka tu.
Sasa mimi nilisolve swala hilo kwa kujifunza Graphic Design/Digital Imaging, nikiri tu wazi hadi sasa kuna watu wapo kwenye ajira na wananizidi hela kwasababu nilispend the whole night to just get that IFM Certificate right just like the original one! na ndio wanaoniweka mjini maana nina siri zao. Sasa utaniuliza; vipi kuhusu NECTA, coz jina lazima liwe kwenye sytem yao n.k.....au vyeti vya siku hizi vinatoka na passport size....!! Hii siri siitoi, madude mengine ntashusha siku ingine.
Kufoji vyeti sipendi ila ni njaa tu wandugu, ila kwasasa nimeridhika na ajira niliyonayo. Ila WARNING KWA WANAFUNZI WA VYUO: acheni kusccan vyeti vyenu kwenye stationary zilizo karibu na Vyuo vyenu, watu huwa tunakuja na vifrash vyetu tulivyoagiza kutoka India, nikiingia pale nanyonya data za Stationary nzima *****....nikrudi gheto najichagulia jina zuri hahahaha!....hii ni mojawapo tu ya mbinu ya watu KASOMEA JINA HILI, KAAJIRIWA KWA JINA HILI...kumbe aliwaona wataalamu hahahah!
Pia nyie NECTA na viportal vyenu vya kuverify nyaraka, zuieni Mirroring za Portal zenu.
#I'mOut
Anhaa ni hivi vyuo vidogo,,okay..Nafikiri unafanya jombo zuri zaidi. CPA ni muhimu sana kwa watu wa taaluma hiyo. Kwahiyo endelea tu bila shaka itafungua milango mingi zaidi.
Kuhusu kujitole ni kweli kuwa ni ngumu kwa vyuo ambavyo ni well established, na vyuo vya umma pia haiwezekani kabisa. Ila nilikuwa naongelea hivi vyuo vidogo vidogo ambavyo vingi vina kozi za cheti kwenye mambo ya acountancy. Lengo lilikuwa kupata nafasi ya kujifunza zaidi, kuendelea kukumbuka vitu ulivosoma degree ya kwanza, kujenga mtandao unaoweza kukusaidia kwenye kufikia malengo yako pamoja na kupata uzoefu wa kufundisha ili kuwa na sifa ya ziada pale zinapotokea fursa.
Hata hivyo kwakuwa unafanya CPA nadhani hapo pia unakutana na watu mablimbali ambao wanaweza kukupa chaneli pia, kwahiyo jenga mtandao hapo pia. Unaweza pia kujikuta unafundisha CPA kwa wengine baada ya wewe kumaliza hapo, kwahiyo pambana tu utafanikiwa.
Kila la kheri