Natafuta kazi

jimani

Member
Apr 15, 2017
8
10
Mimi ni kijana wa kiume miaka 29 ninaishi Dar es salaam nimesomea degree ya Procurement and logistic management,sijawahi kufanya kazi sehemu yoyote na nimehangaika sana kutafuta kazi lkn sijafanikiwa. Nimekuja kwenu leo hii kuomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata kazi ama kuniajiri kwa kazi yoyote ile iliyokuwa ya halali na nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote. Mungu awabariki sana kwa utayari wenu.
Contact 0625580720
 
braza keep fighting hali sio nzuri kuna raia kibao wapo mtaani wanatafuta kazi na mimi nikiwa mmojawapo ila no kukata tamaa
 
Tafuta shamba ulime mkuu, kazi hakuna na pia hazilipi kama kilimo.

Sana sana utakuwa mtumwa tu. Tafuta mtaji tafuta shamba piga jembe.
Mpatie ardhi akalime na capital ya kununua mbegu, madawa and the rest of pembejeo za kilimo utakua umeutendea haki ushauri wako
 
Tuma maombi yako chuo cha Utalii cha taifa hapo Dar wanaitaji Afisa ugavi nimepewa uo mchongo soon japo nipo Arusha kama wiki imeisha fanya hima utume maombi utapa... Mungu akujaalie usikate tamaa nichangamoto tu za ujanani
 
Ahsante kwa ushauri wako lkn kama lengo ndo hilo basi sikuwa na haja ya kupoteza muda wa kwenda shule
Kwahiyo wewe unafikiri lengo kuu la kuenda shule ni ili ukimaliza uajiriwe!?

Kama ndio mawazo yako hayo na una umri wa miaka 29 bro wangu hata mimi chalii mdogo japo sijatoka ila kiakili naweza kusema nimekuzidi.

Vyuoni siku hizi naona wanajitahidi kufundisha Ujasiriamali kwa course zote (kama sijakosea) na lengo ni kumpa mwanafunzi uwezo wa kuweza kuona opportunities na kuzi seize kisha kujiajiri na kujipatia kipato.

Kwahiyo mkuu the utlimate goal of going to school/university e.t.c is not to get employment.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom