Recent content by bogota the king

  1. bogota the king

    Laiti Watanzania wangetambua nguvu ya kisiasa waliyonayo!

    Watanzania sasa tukiwa wakomavu na tuliojiamini, tulipaswa kuthubutu na kuibuka na mikakati ambayo ingeweza kutuvusha katika hali ya uhakika zaidi kwa kipindi kirefu zaidi cha miaka mingine isiyo pungua hamsini (1981- 2030).
  2. bogota the king

    Laiti Watanzania wangetambua nguvu ya kisiasa waliyonayo!

    Ukiona walio wengi wanalalama..... jua hakuna aliye salama...... Indicator za kukua kwa uchumi hazipo upande wetu.....
  3. bogota the king

    Laiti Watanzania wangetambua nguvu ya kisiasa waliyonayo!

    Harakati za watanzania hazijaanza leo.....
  4. bogota the king

    UPDATE: Polisi Makambako wanasema wanamshikilia Bw.Kibiki kwasababu ana tatizo na TANESCO

    TISHIO Mwandishi wa habari, Emmanuel Kibiki, amechukuliwa kutoka nyumbani kwake na kundi kubwa la askari polisi majira ya saa tisa alfajiri leo. Nimepigiwa simu na mkewe, Tobina, akilia machozi kuwa mumewe alifuawa na askari hao majira ya saa sita usiku wa kuamkia leo. " Tulikuwa tumelala...
  5. bogota the king

    Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

    Mwisho wa siku wote tutabaki watanzania.... na nia tuliyonayo ni kuivusha nchi isonge mbele kwa mustakabali wa sasa na vizazi vijavyo.....
  6. bogota the king

    Wabunge wanamezeshwa data kuichafua Serikali pasipo kujua ama wakijua

    Forex reserve imeongezeka..... Beno Ndulu Ex Governor Export zimeshuka .....IMF ECONOMIC GROWTH imeshuka kutoka 7.2 mpaka 6.7 per annum.... World Bank..... Akili za mbayuwayu changanya na za kwako....
  7. bogota the king

    Tunda amedondosha mimba wapi?

    z ZzzzzzzZzzzz.......
  8. bogota the king

    Marufuku zilizowekwa na Serikali ya awamu ya tano tangu Rais Magufuli aingie madarakani, Novemba 2015

    Marufuku kupandisha mishahara na marupurupu ya wafanyakazi mpaka nchi inyookeee.... Marufuku kusafiri nje ya nchi bila ya kibali cha magogoni.......
Back
Top Bottom