Yaani zikose soko, ulaya yoooote,Japan,South Korea,Saudia, Qatar, Bahrain,UAE, Brazil, mexico woooote 90% ya air force zao ni ndege za marekani.
Usichokijua kitendo Cha ndege zake kupigana kwenye vita ni faida kwake anajua strength and weakness.
NATO
Japan
South Korea wanalilia Kila siku...