Dah tupo wengi sana ...kiasi kwamba chuoni wananiona mbinafsi mwenye majivuno na n.k.ila ndio hivyo ndugu we are introvert na jamii huwa inatuchukulia negative sana
Kabisa yaani mkuu .wengine kejeli na vijembe kwamba naogopa wanawake na mambo kibao..lakini sawa hata kama nawaogopa pengine inachangia ila sijawahi kujutia
Sema nini... Mavazi ya hovyo ya mwanamke huwa yanawashusha thamani sana mbele ya jamii haswa ya wanaume... Sasa mfano unakuta mwanchuo kavaa dela na wala si mjamzito ..kama sio umalaya ni nini
Habari wana Jf , natumai nyote ni wazima japo kuna changamoto za hapa na pale tunakumbana nazo. Moja kwa moja acha niende kwenye maada.
Tangu zamani nikiwa mdogo nilitamani kuwa rubani wa kurusha ndege. Kiukweli kutoka moyoni ni taaluma ninayoipenda sana hadi sasa na sio kutokana kwamba inalipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.