Recent content by Bobwe1

  1. Bobwe1

    Wanaharakati kuweni wazalendo, baadhi yao ni waongo sana na wanapotosha kuhusu katiba pendekezwa

    Vile umeipuuza rasimu ya warioba basi watu hapa pia watakupuuza.
  2. Bobwe1

    Uchaguzi 2015: Mzanzibari kugombea Urais kwa tiketi ya CCM

    Nchi yako ipi na nchi jirani ipi?
  3. Bobwe1

    UNAFIKI MSIBANI. Hadi MUNGU Anasingiziwa..!

    Kama ni komba mungu amlipe anachostahiki.
  4. Bobwe1

    Uchaguzi wa 2020: Mipaka ya Tanganyika na Zanzibar itakuwa hivi

    Huku zanzibar kwa sasa ni mwendo wa mamlaka kamili tu'MGUU MBELE MGUU NYUMA'
  5. Bobwe1

    Uchaguzi 2015: Mzanzibari kugombea Urais kwa tiketi ya CCM

    Huku zanzibar ni mwenendo wa mamlaka kamili tu'MGUU MBELE MGUU NYUMA'
  6. Bobwe1

    Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu?

    Sasa utawezaje kutengeneza mtu bila ya roho?mtu ni roho bila ya roho huwezi kumwita mtu tena,tukiweza kutengeneza roho ndio tumeweza kutengeneza mtu.
  7. Bobwe1

    Matumizi ya Watoto kwenye shughuli hizi za Siasa sio Kosa la Kisheria?

    Sasa kama hawajawatumia watoto unazani watampata nani?
  8. Bobwe1

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Uislam sio jina la mtu,unajua maana ya mfumo kristo?hujiulizi kwa nini nyerere alipanik alipoona zanzibar imeingia OIC?hujiulizi kwa nini makafiri wapo kimya juu ya MOU?mlitumia nguvu nyingi kuzuia na kuviza nguvu za waislam ila kwa sasa hamtoweza tena hata mtumie vifaru,kilichobaki mfumo kristo...
  9. Bobwe1

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Muislam haogopi kudai haki yake popote maana hakubali kudhulumiwa,sasa kama hayo madhehebu yapo kimya ulitaka waislam wawasemee?mahakama ya kadhi ni kwa waislam sio kwa makafiri.
  10. Bobwe1

    Wabunge wa UKAWA kuweni makini katika kujadili mahakama ya kadhi

    Kama ukawa watakuwa na hofu na uislam basi ni sababu tosha ya kuisambaratisha ukawa,wacha move iendeleee...
  11. Bobwe1

    Wakatoliki tudai mahakama za canon law

    Kuanguka kwa ccm ndio kuanganguka kwa mfumo kristo,kikwete ameletwa duniani kuuangamiza mfumo kristo na mabaki yake yote,swali,je ni kwanini makafiri wanatumia nguvu kubwa kuzuia mahakama ya kadhi isiwe?
  12. Bobwe1

    Wakatoliki tudai mahakama za canon law

    Ila mapadre kuwala tigo wafuwasi ni ok kwa upande wa dini yako,makafiri bhana.
  13. Bobwe1

    Tamko la Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislam Tanzania

    Kwa hiyo wagalatia wamo mle bungeni kuzima hoja za waislam?makafir bhana!
  14. Bobwe1

    Tamko la Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislam Tanzania

    Kazeni buti wakatoliki kwenye kulazimisha muungano na zanzibar kwani siku muungano ukivunjika na mfumo kristo una koma kutawala zanzibar,swali je waislam wa tanganyika watakubali kuendelea kutawaliwa na mfumo kristo?william lukuvi analo jawabu la swali hili.
Back
Top Bottom