Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu?

Kwanini binadamu hawezi kuumba mtu?

yaani mwanamke anafanya tendo la ndoa na mwanamume anabeba ujauzito mtoto anazaliwa nyie mnasema mmeumbwa. kweli akili zetu ni zero



hapa dunian hakuna mtu anayejua kila kitu, ndio maana tupo hapa leo ili kubandilisha maarifa.

mkuu unaweza tu ukatuelezea ufahamu wako kwamba
binadam wa kike na wakiume wanaofanya tendo la ndoa nakuzb mtoto, je? walitoke wapi? hadi uwepo wao ukaonekana hapa dunian.
 
Wewe God hater,unataka kujua kweli kama Mungu Yupo? Unaamini Sayansi Na Huamini Ktk Uwepo Wa Mungu? Sasa Fanya Hivi ili ujue uwepo wa Mungu,chukua Karatasi Nyeupe,andika Majina Yako Yote Matatu Kwa Wino Mwekundu,na Chini Yake Uandike Hivi Kwa Mfano:mimi Chaha Magaka Kiranga Nasema Wazi Kuwa Hakuna Mungu,na Kwa Kauli Yangu Kama Kweli Kuna Mungu Sitaamka Nitalala Milele,ichukue Karatasi Hiyo Kisha iweke kwenye Biblia Ktk Ukurasa Wowote Wa Kitabu Cha Mwanzo,usiku Ukiingia iweke Biblia Hiyo Ktk Mto Wa Kitanda Chako Unacholala,ukienda Kulala Hakikisha Hiyo Biblia ipo kwenye mto unaolalia,yaani chini ya mto,hakikisha unalala chali,SUBIRI MATOKEO UTAONA.

hahahahahahahaha uchawi kabsa. kitu kama hicho nakifanya mimi usiku wa leo..
 
kukataa kwamba Mtu hajauubwa na Mungu unatakiwa uje na hoja mathubuti za kuzibitisha mtu alitokanaje.? na ilikuwaje hadi akawepo katika huu ulimwengu huu.


Kututoa hoja za kuzibitika kwamba mtu alitoka wapi? basi haina haja yakuendelea kubisha na kuuliza maswali ya kwanini kwa kitu ambacho hoja yako hujaijengea misingi ya kuitetea.

Huhitaji kujua square root ya mbili ni nini ili kujua si nane.

In fact hakuna anayejua square root ya mbili ni nini accurately, kwa sababu ni "irrational number", it can only be approximated.

Lakini hili halitufanyi tukubali square root ya mbili ni nane mpaka tutakapoweza ku prove accurately square root ya mbili ni nini.

Kwa kusema kwamba kukataa mtu hajaumbwa na mungu ni lazima uwe na hoja madhubuti mtu alitokana na nini ni sawasawa na kusema kukataa square root ya mbili si nane inabidi uwe na accurate square root of two.

The refutation is not only absurd, but it also rejects a gradual convergence towards verifiable truth by elimination of the verifiably discarded.
 
Wewe God hater,unataka kujua kweli kama Mungu Yupo? Unaamini Sayansi Na Huamini Ktk Uwepo Wa Mungu? Sasa Fanya Hivi ili ujue uwepo wa Mungu,chukua Karatasi Nyeupe,andika Majina Yako Yote Matatu Kwa Wino Mwekundu,na Chini Yake Uandike Hivi Kwa Mfano:mimi Chaha Magaka Kiranga Nasema Wazi Kuwa Hakuna Mungu,na Kwa Kauli Yangu Kama Kweli Kuna Mungu Sitaamka Nitalala Milele,ichukue Karatasi Hiyo Kisha iweke kwenye Biblia Ktk Ukurasa Wowote Wa Kitabu Cha Mwanzo,usiku Ukiingia iweke Biblia Hiyo Ktk Mto Wa Kitanda Chako Unacholala,ukienda Kulala Hakikisha Hiyo Biblia ipo kwenye mto unaolalia,yaani chini ya mto,hakikisha unalala chali,SUBIRI MATOKEO UTAONA.

Huyu sasa mungu au uchawi?

Hizi habari zina tofauti gani na za vigagu?

Na nikifanya hivyo usiku wa leo nikiamka salama itakuwaje?
 
Maana ya ROHO ni mada defu sana kiifanunua, lakin kwa ufupi roho ni uhai unamuwezesha kiumbe hai kuishi.

Nafikiri utakuwa umenielewa.

Sasa utawezaje kutengeneza mtu bila ya roho?mtu ni roho bila ya roho huwezi kumwita mtu tena,tukiweza kutengeneza roho ndio tumeweza kutengeneza mtu.
 
Huhitaji kujua square root ya mbili ni nini ili kujua si nane.

In fact hakuna anayejua square root ya mbili ni nini accurately, kwa sababu ni "irrational number", it can only be approximated.

Lakini hili halitufanyi tukubali square root ya mbili ni nane mpaka tutakapoweza ku prove accurately square root ya mbili ni nini.

Kwa kusema kwamba kukataa mtu hajaumbwa na mungu ni lazima uwe na hoja madhubuti mtu alitokana na nini ni sawasawa na kusema kukataa square root ya mbili si nane inabidi uwe na accurate square root of two.

The refutation is not only absurd, but it also rejects a gradual convergence towards verifiable truth by elimination of the verifiably discarded.

Unafikiri kila mtu anajua maswala ya square root?

acha kuleta blaah blbh kwenye hoja ambayo huwezi kama hii.

huwezi ukeleta hoja ya kwamba hakuna mungu kwa kuwa hujui square root ya mbili ni gapi?

kwanza hapo hujajibu swali umetoa mfano. huwezi ukatagemea kutoa hoja kwa kutegemea mifano 100%
 
Sasa utawezaje kutengeneza mtu bila ya roho?mtu ni roho bila ya roho huwezi kumwita mtu tena,tukiweza kutengeneza roho ndio tumeweza kutengeneza mtu.

roho=uhai=pumzi=hewa(oksijeni, kabondayoksaidi, haidrojen)

uweze wa kutegeneza upo kwa sababu tunategeneza mashine yeye mfumo kama uzazi wa mwanamke na kuunda mfumo wa mzunguko wa damu tutakazotoa kwa binadam itakuwepo na mashind maalumu yukusukuma na kuzungusha damu katika sehemu zinazotakiwa.
 
Unafikiri kila mtu anajua maswala ya square root?

acha kuleta blaah blbh kwenye hoja ambayo huwezi kama hii.

huwezi ukeleta hoja ya kwamba hakuna mungu kwa kuwa hujui square root ya mbili ni gapi?

kwanza hapo hujajibu swali umetoa mfano. huwezi ukatagemea kutoa hoja kwa kutegemea mifano 100%

Hujui kuhusu square root unataka kutuambia unajua kuhusu logic ya uwepo wa mungu.

Unasifia ujinga.

Kazi kweli kweli.
 
Hujui kuhusu square root unataka kutuambia unajua kuhusu logic ya uwepo wa mungu.

Unasifia ujinga.

Kazi kweli kweli.

Kutojua square root ya mbili kwamba ni ngapi? haina uhusiano wowote wa kuthibitisha kwamba mungu hayupo. maswala ya square root huwezi kabisa akamfundisha mtoto mdogo akakuelewa nakufuta dhana yake ya kwamba mungu yupo kwa sababu kaumba ulimwengu na viumbe hai.

nimekuambia hujatoa hoja badala yake umetoa mfano wa hoja.

nimesema mungu yupo kwa sababu kazi zake zinaonekana hoja yangu inaeleweka hata kwa mtoto ambaye hajaenda shule hata kichaa anaelewa.

mtumishi wa MUNGU Eiyer pita huku mkuu eti hata wewe unaweza ukamweleza mtoto wako mdogo kwamba Mungu hayupo kwa sababu hujui square root ya mbili ni ngapi??

Kiranga tafuta hoja nyingine maswala yako ya kutokujua square root ya mbili siyo dhana ya kupinga kwamba mungu hayupo.
 
Last edited by a moderator:
Huhitaji kujua square root ya mbili ni nini ili kujua si nane.

In fact hakuna anayejua square root ya mbili ni nini accurately, kwa sababu ni "irrational number", it can only be approximated.

Lakini hili halitufanyi tukubali square root ya mbili ni nane mpaka tutakapoweza ku prove accurately square root ya mbili ni nini.

Kwa kusema kwamba kukataa mtu hajaumbwa na mungu ni lazima uwe na hoja madhubuti mtu alitokana na nini ni sawasawa na kusema kukataa square root ya mbili si nane inabidi uwe na accurate square root of two.

The refutation is not only absurd, but it also rejects a gradual convergence towards verifiable truth by elimination of the verifiably discarded.

shida ni kwamba hata hizi formula unazotumia ni za viumbe wanaotumia kuvuta oxygen na kutoa carbon dioxide, ndani ya box la wajinga ukajiona we ni muelewa ni upumbavu tu ukitoka nje ya hapo ni uthubutu na uelevu uliotukuka kwa jamii
 
hahahahahahahaha uchawi kabsa. kitu kama hicho nakifanya mimi usiku wa leo..

Siamini Kabisa Kama Unaweza Kufanya Hivyo,na Ukijaribu Hutaamka,utakufa,Mungu Si Wa Mchezo Wewe,hebu Jaribu Uzikwe.
 
shida ni kwamba hata hizi formula unazotumia ni za viumbe wanaotumia kuvuta oxygen na kutoa carbon dioxide, ndani ya box la wajinga ukajiona we ni muelewa ni upumbavu tu ukitoka nje ya hapo ni uthubutu na uelevu uliotukuka kwa jamii

Huyu jamaa hana hoja
kwa sababu maswali yake ni

1, thibitisha kwamba mungu yupo.
ukimjibu kwamba yupo kwa kuwa kazi zake zinaonekana kama kuumba ulimwengu na viumbe hai.

jionee sana anavyorukaruka na kupoteza uwelekeo wa mada, eti anasema kutojua square root ya mbili haimanishi kwamba square root ya mbili ni 8.

ukiangalia kwa makini hoja yake haina jibu zaidi yakutoa mfano wa kutokujua square root ya mbili.


swali la pili anapenda kuhoji kwamba eti kwa nini mungu hajaumba ulimwengu kama anavyotaka yeye kwenye fikira zake.

kwa hoja zake hizi utabain ya kwamba hata mtu aliyeishia darasa la nne hawezi kubishana naye kwa sababu hajui.
 
Huyu sasa mungu au uchawi?

Hizi habari zina tofauti gani na za vigagu?

Na nikifanya hivyo usiku wa leo nikiamka salama itakuwaje?

Ukifanya Hivyo Ukaamka Salama Basi Endelea Kuamini Kuwa Hakuna Mungu.ila najua endapo utafanya hivyo ndo kwa heri,tutaletewa taarifa kuwa kiranga is no more.
 
shida ni kwamba hata hizi formula unazotumia ni za viumbe wanaotumia kuvuta oxygen na kutoa carbon dioxide, ndani ya box la wajinga ukajiona we ni muelewa ni upumbavu tu ukitoka nje ya hapo ni uthubutu na uelevu uliotukuka kwa jamii

Shida ninkwamba huyo mungu mnayesema kaumba vyote nimewaomba mthibitishe kwamba yupo, mpaka leo hamjathibitisha.
 
Ukifanya Hivyo Ukaamka Salama Basi Endelea Kuamini Kuwa Hakuna Mungu.ila najua endapo utafanya hivyo ndo kwa heri,tutaletewa taarifa kuwa kiranga is no more.

Its a matter of hours.
 
Shida ninkwamba huyo mungu mnayesema kaumba vyote nimewaomba mthibitishe kwamba yupo, mpaka leo hamjathibitisha.

Uthibitisho gani? unaouhitaji umeambiwa yuko kwa sababu kazi zake zinaonekana ambazo wewe hata ufanyaje huwezi ukazifanya.
 
Maswali ambayo yanamuhusu mungu ni

maswali yenye utata....ndio maana Kiranga kaamua kuwa

mtu huru.

Unamfagilia Kiranga Ana Uhuru Gani Mtu Asiyemjua Mungu? Huyu Ni Mfungwa Wa Kuzimu Hana Uhuru Wowote Ni Wa Kumuonea Huruma Sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom