Ni kitu kigumu kwa mtu au kiongozi kujitangazia kwenye eneo lake kuwa ana nchi na eneo la mipaka kisha kuwa na vikosi vyake vya ulinzi,katiba,bunge,bendera,mahakama,wimbo wa taifa n.k,hebu nambie mkoa gani huko tanganyika unaoweza kufanya hivyo?kwa akili za kawaida tu unapata picha kuwa hao...