Kwani hizo nafasi anapewa Pro.Muhongo binafsi au no Serikali kupitia Wizara ya Nishati na madini.??!!Ila nahisi ni lazima umtaje yeye kwa kuwa muda wa kampeini umekaribia na tayari ameshatangaza nia ya kugombea.
Very sorry for you and whatever your going through.But believe me,it's just a temporary situation,it happen.I wish I could have known you and share our experiences.Pole sana
Duh Pole sana,
Pamoja na kwenda kumuona dakta, Je, yeye mwenyewe anatabia ya usafi?.Maana dada zetu siku hizi wanajua sana kujipodoa ila kwenye kujisafisha ni tatizo..Utakuta dada ana kucha ndefu sana,utajiuliza hivi huyu sasa anajisafishaje papuchi yake!!!..Wanavaa vinguo vya plastiki kiasi...
Muda wote Mnyika amekuwa kimya wakati Ndugai akichangia,ila Mnyika akiongea anamkatisha na kutaka kuendelea kuchangia.Nadhani Nduhai ni Kiongozi dhaifu asiye na uvumilivu.Na,ndio maana wapinzani wanapokuwa wanataka kuchangia hoja ambayo kwa CCM ni mwiba hatoi nafasi.Hili limejidhihirisha hata...
Anayeamua nani aende IKULU AU ASIENDE ni mpiga kura.Katika kipindi chote tangu nchi hii iingie ktk mfumo wa vya vingi vya siasa (1992),CCM haijawahi kupata ushindi usio na mashaka.1995,NCCR-Mageuzi ulikuwa mwiba mchungu,ila hila zilizotumika tuliokuwepo hatujasahau..CCM iliishia kupandikiza...
Watanzania mbadilike.Watu wanasifia vya kwao nyie mnapiga mateke.Dogo nyota yake inag'ara na watu wanapenda anachokifanya na hivyo anaingiza kipato na watu wanapata ajira kwa kazi yake ya muziki akiwemo huyo 'secretary' wake.Jifunzeni kutoka kwa wenzenu wa Nigeria,RSA,Uganda,Marekani na...
Nilipokuwa kidato cha pili nilimpa binti ujauzito tukapata mtoto wa kiume ambaye sasa yupo Sec.Hatukuweza kuendelea na mahusiano kwa sababu mbalimbali.Yule binti aliolewa na kupata mtoto mwingine na anaendelea na maisha.
Badadae nikawa na mahusiano na binti mwingine tukiwa kidato cha tatu hadi...
Habari zenu watanzania.
Alichokiandika mtanzania huyu mwenzetu sio kweli alitakiwa aeelezee ukweli na si kuipotosha jamii mtanzania hy alikuja na wenzake watatu wanasafiri kutoka dar -dxb -bkk ila kwa utaratibu na sheria ya afya za bkk abiria yyt alietoka nchi ya africa esp tz haruhusiwi...
Ndugu,habari ulivyoiandika umetia chumvi sana.Hebu mtafute aliye kupa habari ili uinyooshe vizuri.Ukiwa unaandika basi fanya aidha utafiti wa kina au anayekupa habari msikilize kwa makini ili usiipotoshe au kuongeza chumvi saaaana habari yenKyewe.
Ni hivi `Mama alifia airport dispensary baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.