Recent content by BobKinguti

  1. BobKinguti

    Kufungua akaunti benki

    CRDB Bank Plc wanafungua kwa namba ya NIDA pekee bila kuhitajika kitambulisho chenyewe. Vilevile unaweza kujifungulia akaunti ya Crdb mwenyewe bila kuhitaji kufika bank au kutembelewa na afisa wa Bank.Kwa kutumia smartphone ingia google playstore au ios store download simbanking apk. After...
  2. BobKinguti

    Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

    Hapana. Still no perfect substitute for iphone so far! Wako Juu.
  3. BobKinguti

    Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

    Hazchem plate, Nimewahi Tumia Samsung S3, then note 4. Baadae Nikatest Huawei na Tecno. Lengo lilikuwa kujua hasa ladha na uzuri hususani baada ya kuona watu wanaongea ongea sana. Kila simu hapo juu, niliitumia kwa kipindi kirefu cha kuweza kujua uzuri na ubaya wa kila moja. Baada ya kupita...
  4. BobKinguti

    Hawa ndio Vodacom 4G

    Voda wako vizuri
  5. BobKinguti

    Kuweka salio kupitia modem ya tigo

    Pole kwa usumbufu! Njia nyingine ni kuwa na line 2 za tigo ambapo moja inakaa kwenye modem permanently. Na hiyo nyingine kwenye simu. Haina haja ya kuitoa. Sana sana utatumia line hiyo yako nyingine ya tigo kununua any bundle you want through option ya "mnunulie rafiki".
  6. BobKinguti

    Swali: Smile 4G Unlimited bundle

    Kaka huku kwetu niishipo tigo is more worse. 4G yao kwanza ipo town tu. Na 3G nayo iko on off. Kiufupi ni halotel tu ndo wana afadhali. Wengine wote kwa maana ya tigo,voda,airtel ni majanga.
  7. BobKinguti

    Swali: Smile 4G Unlimited bundle

    Speed nimekua nacheki several times. Mwanzoni wakati naanza kutumia ilikua inasoma mpaka 10Mbps. Lakini baada siku chache tu za kutumia nikawa kila nikipima speed nakuta inacheza around 2Mbps. Nikaenda mpaka nilipofika 25GB basi ndo majanga. Nikapigwa speed governer. Ndo nikaambulia 0.52Mbps...
  8. BobKinguti

    Swali: Smile 4G Unlimited bundle

    Mimi ni mteja wa smile(new customer). Ukweli ni huu, hiyo unlimited package ya 125,000/= for 30 days ina limitation ya speed. Utapata high speed up to 25GB. Baada ya hapo wanabana speed(you will get only 0.52Mbps). Pamoja na hayo, kabla sijafikia kiwango hicho cha 25GB, most of the time max...
  9. BobKinguti

    Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

    Mimi niliunlock hii modem via dc-unlocker. Before sijaiunlock nikicheki properties wakati iko connected to net ilikua inasoma SPEED 14Mbps. Lakini nilivyo unlock tu ukirudi kwenye properties wakati iko connected SPEED inasoma 7.2Mbsp. So nadhani uki unlock unapunguza efficiency interms of...
  10. BobKinguti

    Line ya Tigo haijawahi kunipa service ya WCDMA hata siku moja

    Nilikua na hii simu kipindi fulani. Kiukweli huwa inasumbua kiasi fulani. Na bila kuwa mtundu itakushinda kufanya settings. Kuna vitu viwili vya kunote, kwanza hii simu haiwezi kukubali 3G iwe enabled for all sim cards at the same time. That means unatakiwa line 1 uchague 2G ili uipe fursa line...
  11. BobKinguti

    Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

    Mimi nili unlock hii modem ya tigo E 303, kwa offocial dcunlocker software. Ila baada ya kukamilisha zoezi nilivyocheki properties ikaonyesha capacity yake baada ni 7.5Mbps. That means nimeiunlock sawa lakini nimeipunguzia uwezo wa kutransmit data na kwakweli ilikua haina tena maana kwangu...
  12. BobKinguti

    Nahitaji kujua king'amuzi gani kizuri kwa ajili ya Sports Channels

    Ni kweli 143,000/= kwa tulio wengi ni ghali. Kuna ile package ya compact plus ambayo ni kama 92,000/= kwa mwezi wanakupa channel 2 za mpira zinazoonyesha epl na ligi nyingine kubwa za ulaya. That means ukiwa na hii package utaangalia ligi zote uzipendazo comfortably. Ila kiukweli bado hata hii...
  13. BobKinguti

    Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

    Mkuu maelezo yako yanatuchanganya. ni vise versa na magari mengi watu waendeshayo.
Back
Top Bottom