Naomba kujua ubora wa simu za iPhone

Naomba kujua ubora wa simu za iPhone

Una mentality za kishamba sana na kama una elimu basi elimu yako haijakutoa ujinga kichwani, kumiliki Iphone sio utajiri na kumiliki tecno sio umasikini. Ni mapenzi ya mtu kumiliki kile anachokitaka na atatafuta namna akipate.

Mfano, kuna Mzee mmoja anamiliki kampuni ya usafirishaji na ana zaidi ya malori 100 lakini anatumia boxer kwenda ofisini wakati nyumbani kapaki Ranger, Land Cruiserv8. Sio kwamba hataki kutumia hayo magari ni mapenzi yake kwenye kuendesha pikipiki.

angalia mfano wako kisha usome tena maandishi yako..

mimi nimeshauri mtu maskini wewe unatoa mfano wa tajiri..

kwa akili yako unaona ni sahihi mtu mwenye buku 2 tu.. kunywa bia huku hujala chakula.. na unasema una mapenzi ya bia so kulala njaa ni sahihi...

mimi nimesema kwa mtu mwenye kipato kidogo... hebu soma tena ile comment yangu.. halafu isome na ya kwako.. ujione ulivyo
 
angalia mfano wako kisha usome tena maandishi yako..

mimi nimeshauri mtu maskini wewe unatoa mfano wa tajiri..

kwa akili yako unaona ni sahihi mtu mwenye buku 2 tu.. kunywa bia huku hujala chakula.. na unasema una mapenzi ya bia so kulala njaa ni sahihi...

mimi nimesema kwa mtu mwenye kipato kidogo... hebu soma tena ile comment yangu.. halafu isome na ya kwako.. ujione ulivyo

Bado una akili za kitoto, ukikua utajua kila mtu ana style ya maisha yake.
 
Itoshe kuelewa tu kuwa iPhone ni simu halisi nasi danganya toto za mchina.


Sent using akili yangu
 
(a) Ukaaji wa chaji inategemea na matumizi yako. Kwa iPhone 6+ kama huna mambo mengi na kama ni mpya unaweza tumia masaa 12 bila kuchaji

(b) Camera zake ziko vizuri sana inatoa picha bora yenye uhalisia

(c) Apps ulizozitaja zote unazidownload bila shida kwenye AppStore na ni free


Sent using iPhone X
 
Una mentality za kishamba sana na kama una elimu basi elimu yako haijakutoa ujinga kichwani, kumiliki Iphone sio utajiri na kumiliki tecno sio umasikini. Ni mapenzi ya mtu kumiliki kile anachokitaka na atatafuta namna akipate.

Mfano, kuna Mzee mmoja anamiliki kampuni ya usafirishaji na ana zaidi ya malori 100 lakini anatumia boxer kwenda ofisini wakati nyumbani kapaki Ranger, Land Cruiserv8. Sio kwamba hataki kutumia hayo magari ni mapenzi yake kwenye kuendesha pikipiki.
OP, kilichoandikwa na ulichojib n vtu viwil tofaut

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu mkuu kwenye ulimwenguni wa IPHONE.Usiogope mkuu kujifunza kitu kipya
 
Huu uzi umenikumbusha huu wimbo wa TEKNO..... Durooo

Nilishatumia iPhone ikaibiwa baadae nikapewa iPhone nyingine ikanishinda.

Kasie Samsung Baby.

Durooooo.



Kasie Matata.
 
Mbona simple sana, nenda kwa devoloper atakueleza kila kitu kuhusu ubora ya kifaa chake .
 
Mi nakushauri hata usInunue iPhone maana utaishia kuleta complains tu hapa hasa kama ulikuwa android user ila kama hujawahi kutumia android fanya kununua
 
(a) Ukaaji wa chaji inategemea na matumizi yako. Kwa iPhone 6+ kama huna mambo mengi na kama ni mpya unaweza tumia masaa 12 bila kuchaji

(b) Camera zake ziko vizuri sana inatoa picha bora yenye uhalisia

(c) Apps ulizozitaja zote unazidownload bila shida kwenye AppStore na ni free


Sent using iPhone X

There you are!
 
158_main_l.jpg

1200px-Toyota_Altezza_001.jpg


Ulaji wa mafuta wa Mclaren isiwe chanzo cha kuilinganisha na Altezza.
 
Nunua simu ambayo unauwezo wa kuitawala sio ikutawale ni ushari tafuta hata Samsung
 
Nimevutiwa sana na simu za iPhone hasa iPhone 6+ ila sijawahi kuitumia nimekuja kwenu mliowahi kutumia mnijuze mamba machache
(a) naomba kujua kuhusu ukaaji wa chaji
(b) naomba kujua ubora wa camera
(c) naomba kujua kuhusu uingiza wa app kama vile. ITV, AZAM TV, JAMII FORMS NK .
karibuni sana ktk mjadala huu sat. View attachment 856541

Sent using Jamii Forums mobile app

Durability ya iPhone ni 100% . Kiufupi tu iPhone 6 Plus ni simu ya mwaka 2014 lakini bado imesimama mpaka mwaka huu hata miaka kadhaa ijayo
, ipo chini ya uangalizi wa apple na inakula update latest Kama kawaida
 
Back
Top Bottom