Recent content by Bobdirlin

  1. B

    JamiiForums Tanzania Hizi ni LIVE SHOWS zangu bora za muda wote nisizochoka kuzitazama.

    Kuna ya extra musica walipiga ivory coast abdijan ni noma na nusu .
  2. B

    JamiiForums Tanzania Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani Tanzania zinasema nini kuhusu Self Driving cars?

    Mleta mada , Self driving cars siyo kitu cha leo wala kesho . Weka miaka zaidi ya kumi ijayo ndo self driving cars zianze kusambaa duniani. USA mwenyewe bado sana sana . Achana na propaganda za mitandaoni. Labda EV lakini self driving bado sana
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nani mmiliki wa Vituo vya Mafuta vya “Victoria”?

    Mzee flan hivi mlokole sana na mstaarabu sana , nishafanya nae kazi yule mzee yuko vizuri hana longo longo
  4. B

    JamiiForums Tanzania Sikuona makosa ya Kennedy Juma kwenye goli la pili la Namungo

    Makosa ni ya Jobe , alisababisha pressure ambayo haikutegemewa na ikapelekea goli. Mpira ulikuwa wake ilitakiwa kumpa mtu pasi au kukimbia nao badala yake akaanza mbwembwe zisizo na msingi na mpira ukachukuliwa kirahisi . Kennedy na kipa hawahusiki kabisa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki

    Wewe ndo upo nyuma na huna taarifa sahihi . Hakuna mahali popote Simba inamilikiwa na mtu , hata yanga haimilikiwi na mtu yeyote.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Simba tangu 2019 hauaminiki

    Simba haimilikiwi na Dewji. Mo si mmiliki wa simba acheni story za vijiweni
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
  8. B

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa umma wapewe elimu ya kikokotoo wamechanganyikiwa

    Imagine Dunia inazunguka jua Kwa speed ya Karibia km 30 Kwa sekunde na hapo hapo inajizungusha kwenye mhimili wake, sasa rusha rocket ikatue kwenye sayari ya mars ambayo nayo inazunguka jua Kwa speed speed Kali sana na hapo hapo nayo inajizungusha kwenye mhimili wake. Zingatia kwamba mars ipo...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    😆😆😆😆 Mnafika mbali hadi kihaya isee . Uzi ufungwe wa oppo abaki na oppo na iPhone 15 pro max abaki na 15
  10. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Yeah na nimeona baadhi yenu kwenye Uzi huu mmeweka picha mlizopiga na iPhone zenu za kishamba. Ntaanza na nyie mjipange
  11. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Sasa Mimi siyo mababu zangu Mimi ni Mimi .. kesho oppo nachukua tukutane kwenye uzi .. nikishachukua naanzisha na Uzi juu
  12. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Ngoja anielekeze kesho nikachukue Oppo inayofanana na IPhone . Pia watumiaji wa iPhone mna ka ushamba flan hivi kujifanya mnaangalia EPL wakati ligi ya bongo ipo
  13. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Mleta uzi mwenyewe anasema kuna mtu alimuona nayo akamuuliza kama hiyo ni iPhone alivyokuta siyo akaanza kumdharau. Ilimkasirisha sana 😢
  14. B

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Naopataje hii Oppo ?
Back
Top Bottom