Asante ndugu kaveli kwa maelezo ya kina
Hizo point za mwisho ulizojadili ndizo zimepelekea mm kufungua kesi, hiyo ni baada ya kufanya upelelezi Wa kina na kubaini hayo
Naendelea na hiyo kesi, naamini hoja nilizoieleza court zina mashiko na zitasikilizwa
Thanx
Hakuna aliemzuia madam, arudishe tu nyumba ya watoto then akaishi kwa mmewe, ampendae si anapaswa kuwa na makazi!! Anaendaje kukaa kwa mwanaume mwenzie
Wakuu nawashukuru kwa ushauri na mawazo yenu, nimefarijika sana
Lengo langu sio kumrudia ex wife wangu, mtu mwenye watoto wawili Wa mwanaume mwingine nitake kumrudia? Nitakua kichaa
Nachotaka ni nyumba yangu isiende kwa mwanaume mwingine wakati watoto wapo pale, kama ningekuta majina kwenye...
Salam zenu wanaume wenzangu,
Mwaka 2006 nilipata matatizo kazini, nikafukuzwa kazi tulishikwa red handed mim ina mwenzangu tukiuza mafuta ya kampuni, nilikua nafanya kazi kwenye kampuni ya mafuta Kurasini.
Kwa kweli nilikua na hela sana kutokana na kitengo nilichokuwepo, mabosi walinitumia...
Hazuiliwi kwenda kokote ndo demokrasia hiyo
Watu Wa vyama vingine wanapokuja chadema huwa hakuna shida, ila wanapotoka chadema kwenda kwingine ndo inakua dhambi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.