Watu waonaongela advance yake 2006 siyo o level .alisoma shule ya sekondari tosamaganga form 1 hadi form 4 .
Akapata division 1 ya 14 akapangiwq shule ya ufundi tanga kidato cha tano na sita lakn alishift dhule na kurudi tosa ndipo alipo fanya hayo makubwa kidato cha sita 2006.
Kama ingekuwa...
Mmmmh inawezakana .ila inabidi akasome sana pcb inawakataa wengi sana.
Mfano mtu anamaliza ana division 1 ya point 7 lakn anakosa chuo .na hii inatokana na competition kubwa kwenye afya .
Ukirudi kwenye vyuo vya private ada kubwa sana .kama wazazi wake hawana uwezo atajikuta anaenda...
Habari za wakati huu wanajamvi! .
Naomba msaada wa kisheria au kimawazo . Mm hapa nilikuwa nimepangisha chumba lakn kwa bahati mbaya tulivunja mkataba na mwenye nyumba kabla ya kumaliza kodi yangu.
Na hiyo ilitokana na yey kutofanya mambo ambayo tumekubaliana kama kufanya marekebisho ya chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.