Recent content by bob_fundi

  1. bob_fundi

    Kesi ya madai

    Shukrani mkuu
  2. bob_fundi

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Kwa hiyo ulitaka kuwe na TO wa jumla kombizote😂😂😂 bado tu wangechukua huko science matundio wanapiga msuli sana
  3. bob_fundi

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Watu waonaongela advance yake 2006 siyo o level .alisoma shule ya sekondari tosamaganga form 1 hadi form 4 . Akapata division 1 ya 14 akapangiwq shule ya ufundi tanga kidato cha tano na sita lakn alishift dhule na kurudi tosa ndipo alipo fanya hayo makubwa kidato cha sita 2006. Kama ingekuwa...
  4. bob_fundi

    Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Umbali ni mkuu sana sehemu nauli 1000/= kwa bajaji
  5. bob_fundi

    Naomba msaada wenu hapa, asome kombi gani?

    Mmmmh inawezakana .ila inabidi akasome sana pcb inawakataa wengi sana. Mfano mtu anamaliza ana division 1 ya point 7 lakn anakosa chuo .na hii inatokana na competition kubwa kwenye afya . Ukirudi kwenye vyuo vya private ada kubwa sana .kama wazazi wake hawana uwezo atajikuta anaenda...
  6. bob_fundi

    Unaweza usiamini ila hawa ni viongozi wakubwa Afrika katika benchi wakiwa Marekani

    Sasa viongozi wote hao wangekaa wap?,kama siyo hapo Au viongozi wao wanasemaje?
  7. bob_fundi

    Naomba msaada wenu hapa, asome kombi gani?

    Huyo Huyo anataka nn yey? Akeenda EGM Ingekuwa vizuri kama phy inamzingua kwa sababu huko mbele phy imechangamka mkuu
  8. bob_fundi

    Kesi ya madai

    Asante sana kiongozi🙏
  9. bob_fundi

    Kesi ya madai

    Habari za wakati huu wanajamvi! . Naomba msaada wa kisheria au kimawazo . Mm hapa nilikuwa nimepangisha chumba lakn kwa bahati mbaya tulivunja mkataba na mwenye nyumba kabla ya kumaliza kodi yangu. Na hiyo ilitokana na yey kutofanya mambo ambayo tumekubaliana kama kufanya marekebisho ya chumba...
Back
Top Bottom