Recent content by bob_fundi

  1. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Pamoja na ubingwa wa ndondokela, Arsenal inapaswa kumfukuza Mikel Arteta

    Leta sababu wew umeona consistency ya arteta . Kwenye ligi amekuwa 2 3 in rows mpk tunakuja kuwa mabingwa Kelele zilikuwa ni aina ya wachezaji walio kuwa wanaanza mfano kwenye vikombe kama FA , carabao
  2. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania KERO Tunaojifunza magari VETA Mbeya, magari mengi ni mabovu

    Yani kama mtu una Yani kama mtu unaela bongo siyo sehemu ya kusoma kbs. Hamna sehemu taenda utakuta pako perfect angalau private sector wapo vzr.
  3. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    D ya nn? Lakn bado ningumu sana kupata hivyo vyuo jaribu kampala .lakn pia ada yake ni kubwa sana. 1. Kama nyumbani kwenu hampo vizuri utakuwa unaiweka familia kwenye madeni iliwewe usome . 2. Mm nina rafiki zangu walimaloza mwaka juzi 1 alikuwa na CCC na 2 alikuwa na CDB (chem, phy, bios)...
  4. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Sasa hata hiyo ajira unaweza kosa tu. Kwa hiyo lengo la kusoma siyo ajira kama unavyo sema .
  5. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Architecture ,lakin kwa nn usiende kwenye mambo ya technology kama AI/ML , DATA SCIENCE AND ENGINEERING,
  6. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya madai

    Shukrani mkuu
  7. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Mbona mpaka sasa mna mtu aliye vunja kama niyakawaida
  8. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Necta wenyew ndio walisema hivyo wastani wake ni mkubwa
  9. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Kwa hiyo ulitaka kuwe na TO wa jumla kombizote😂😂😂 bado tu wangechukua huko science matundio wanapiga msuli sana
  10. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Watu waonaongela advance yake 2006 siyo o level .alisoma shule ya sekondari tosamaganga form 1 hadi form 4 . Akapata division 1 ya 14 akapangiwq shule ya ufundi tanga kidato cha tano na sita lakn alishift dhule na kurudi tosa ndipo alipo fanya hayo makubwa kidato cha sita 2006. Kama ingekuwa...
Back
Top Bottom