Leta sababu wew umeona consistency ya arteta . Kwenye ligi amekuwa 2 3 in rows mpk tunakuja kuwa mabingwa
Kelele zilikuwa ni aina ya wachezaji walio kuwa wanaanza mfano kwenye vikombe kama FA , carabao
D ya nn? Lakn bado ningumu sana kupata hivyo vyuo jaribu kampala .lakn pia ada yake ni kubwa sana.
1. Kama nyumbani kwenu hampo vizuri utakuwa unaiweka familia kwenye madeni iliwewe usome .
2. Mm nina rafiki zangu walimaloza mwaka juzi 1 alikuwa na CCC na 2 alikuwa na CDB (chem, phy, bios)...
Watu waonaongela advance yake 2006 siyo o level .alisoma shule ya sekondari tosamaganga form 1 hadi form 4 .
Akapata division 1 ya 14 akapangiwq shule ya ufundi tanga kidato cha tano na sita lakn alishift dhule na kurudi tosa ndipo alipo fanya hayo makubwa kidato cha sita 2006.
Kama ingekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.