Recent content by Bob Kimya

  1. Bob Kimya

    Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

    Bila walimu usingejua kuandika, acha masimango.
  2. Bob Kimya

    Nikimpa msaada mwanaume mwenzangu nafsi yangu huwa inaridhika na kufurahi tofauti kama nikimsaidia mwanamke

    Ni kweli kabisa ni bora kumsadia mwanaume, Mwenzako,unaweza msaidia mwanamke akajua unamtaka.
  3. Bob Kimya

    Mwigulu adai wananchi ndio walioshauri tuweke tozo

    Watanzanua tupo kaba mijibwa koko Tunapelekwa wanavyotaka.
  4. Bob Kimya

    Nimefika jiji la Kampala, nilitoka Dar es Salaam saa 11 asubuhi

    Mpwayungu utakua,Mshikamano Guest House uko kwenu.
  5. Bob Kimya

    Nimepigwa na kitu kizito

    Duuu bora wewe nimekuta 7880 ela ya kvant ndogo. Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania.Amen
  6. Bob Kimya

    Nataka kuachana na huduma za AIRTEL

    Voda ndo wezi kabisa jamani? Kila siku nikiacha salio nakuta wamekata Mia mbili ata sijui nini.
  7. Bob Kimya

    Rais Samia: Nashangaa Umeme kukatika Marekani!

    Baba akifufuka; kuna watu watakula sana viboko vya kutosha
  8. Bob Kimya

    MSAADA WA KURUDISHA AC YA JF YA ZAMANI.

    Ndio username naikumbuka
  9. Bob Kimya

    MSAADA WA KURUDISHA AC YA JF YA ZAMANI.

    Habari wakuu, Naomba msaada jinsi ya kuirudisha Ac I'd ya Jf ya zamani Nilijiunga toka mwaka 2015 lakini nimesahau password na email.
  10. Bob Kimya

    Dark days 17/03/20

    Old boss ni jasusi kamili
Back
Top Bottom