UJUMBE WA NGUVU KWA VIJANA WA KITANZANIA
Vijana wa Tanzania, hii dunia haitoi zawadi kwa watu wanaolala, bali kwa wale wanaoamka kila siku wakiwa na nia thabiti ya kubadilisha maisha yao kupitia jasho, maombi, na juhudi zisizoyumba. Ndoto zako ni halali haijalishi umetoka wapi au hali yako ya...
Ulichokosea nikutomwambia ukweli mapema , kingine kutoa hizo tattoo inawezekana nenda Medinova medical center Dar au Mlonganzila pia wanatoa hizo hudumu utachagua ww ufanyiwe laser or surgical.......
Kwan uzoefu wangu zingatia mambo yafuatayo :
- Hakikisha unaenda kwanza kwa hao wachina iliupate utaratibu wao na vigezo wanavyotaka.
- Moisture content
Ndo Kila kitu ila kwa mahindi mengi ya sasa ni ngumu kupata ambayo moisture content ipo chini ya 14 , hivyo unaweza ukatafuta location ambazo...
Baada ya kumfanya mke wa mtu single mother ndo unakuja na point kwamba utaki kuoa single mother , kwani ulimkuta single mother????????
Wewe ni mwanaume take responsibility of the problems you caused , umeshaharibu ndoa ya watu na unakimbia we ni fala...
Ushauri wangu ukijiridhisha jamaa kweli...
Bado hizo gari hazifiki kwa land cruiser Kama unafuatilia Nissan , landrover zilikwepo nyingi sana miaka ya nyuma ila sahivi sio nyingi sana kwenye government
Nissan and landrover zipo ila kwenye mashirika ya serikali tunaziona nyingi tu.
Rushwa inawezekana ipo , ila kwenye ubora Toyota...
Unabidi uelewe kitu kimoja unaweza kuwa na pesa ya kununua gari lolote lile na kuhudumia lakini sababu huna elimu ya hilo gari , connection ya mafundi na info nyingine ikafanya gari usidumu nalo ..
Inawezekana hata kumiliki gari ujawahi na unaandika huo upuuzi ukiwa umekaa kwenye kochi la...
Wewe ndo uwezo mdogo , swala la mtu kutaka kununua kitu na kuuliza sio baya anataka kupata uzoefu ilikufanya maamuzi sahihi , kama ulikuwa huna cha kuchangia ungekaa kimya ...
Hao matajiri unaowasema hawakurupuki kununua gari sababu tu wanapesa wanafanya research pia kulingana na interest...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.