nani kakwambia kafa wee chizi?? Au hujui maana ya r.i.p unajiandikia tuu...umeambiwa kapigwa risasi..hakuna mtu kasema amekufa wee unakimbilia r.i.p.....ungeandika kiswahili wala usingekosea kujishaua tuu na lugha za watu...
sikia wee kenge, watz mna shida sana kuambiwa ukweli..ukiwa na mawazo ya kikenge watu watadhani wee kenge au wafanana na kenge..so hapo tusi liko wapi?? ni kama kumwita mwanaume wanayemnanihii shoga..utakuwa umemtukana wakati ndo jina lake??kwa mawazo yako hapo juu hata kenge wenzio...
nasikia alifika tanesco akauliza mnaendeshaje shirika bila hata ya PhD moja...akauliza yaani tanesco shirika kubwa PhD za kutafuta ahahahahaha daaah...sawa yako Prof. tunyanyase tulioshia saint kayumbaz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.