Hatimaye Mama Blandina Nyoni amejiunga katika timu ya victims wa Jamii Forums (JF) ambayo pamoja na wengine ni:
LOWASSA
BANGUSILO
ROSTAM
MGONJA
BALALI
Na wengineo ambao sina haja ya kutaja majina yao.
Sababu kubwa aliyoitoa kwenye barua aliyoandika ni kuwa ameamua kuachia ngazi ili kumpa...
Jamani eeh
nimepata data
Shule 5 kati ya zile 7 katumia minimum 14 million USD
Zile zingine 2 katumia 12 million USD
kile chuo cha kujitegemea so far kashatumia 10 million USD
contractor aliyewekwa pale ni class 1
alikuwa analipa mpaka mishahara ya walimu, vifaa vya kufundishia na...
Kweli unamjia baraka aka PISHI
ni mtu wa watu na akiamua kuingia kwa jinsi ninavyomfaham ataleta challenge kubwa sana kwa January
Tatizo la Pishi ni UBAHILI....tobaaaaaa
sifa yake kubwa ni ubahili lakini inawezekana anazichanga kwa ajili ya kampeni
Unajua kwa standards za kujenga shule moja rough estimate ni 15 million USD
jamaa kajenga shule 7
na pale kaweza contractors wa class 1
na pia kajaza kila kitu mle wataalam wa mambo ya ujenzi watasema kuwa kila shule ni zaidi ya pesa hiyo
wewe umeziona huzo shule zenyewe?
mleta hoja kapindisha ukweli
Huyu jamaa kashatumia close to 250 Billion
tazama hapa:
Musoma Rural Website
huyu anaweza kulala na bado wakamrudisha jimboni bila taabu
sasa jiulizeni ilikuwaje ROSTAM hakuweza kama huyu?
Kama Max & Co waliweza ku gharamia kutengeneza TSHIRT za JF cha kujiuliza how hard was it for them to have a Video crew on the ground kurecord the event kisha tukaipata kwenye YOUTUBE channel ya JAMII FORUMS?
Kila kukicha tunapewa michakato tuuu
JAMII MEDIA imeota mbawa au ndio wajuaji mmekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.