wanajamvi kuna tatizo la rushwa napo hapo pccb ukiangalia majina security guard utaona kuna watu wameongezwa kama jina EMMANUEL CHARLES SIZYA hayupo kwenye orodha ya walioitwa interview na hayupo kwenye orodha ya waliofaulu aptutate test ila anapatikana kwenye orodha ya walioitwa kazini hii sio haki
usiseme hivyo mkuu,mi nachoona huu ni unyanyasaji wa kifikira,baada ya kutuweka tuwe attention muda wote,si tuwaombe tu pccb watoe majina then watu waendelee kusubiri kulipoti kazin
Ndio tunahitaji uvumilivu lakin watoe majina ya watu waliofanikiwa kwenye web yao ndipo watu waendelee kuvumilia kuliko sasa,ukizima simu kidogo tu kosa,ushauri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.