Recent content by bmkumbo

  1. B

    GE2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

    KWELI STA ALIKIWEKA CHAMA PABAYA. LAZIMA ANYWE CHUNGU. aPENDE ASIPENDE. MAKOSA NI YAKE . KAKUNA WA KUMSAIDIA. AILIDHANI WENZIE WANGELALA. LA HASHA. WALI ASIPOTEE VIWANJA VYA BUNGE WAANDISHI WA HABARI KULENI SAHANI MOJA ASEME KILICHOMSIBU
  2. B

    Anne Semamba Makinda's Profile!

    Kwa hakika Anna hana CPD(T) lakini ni mwanzilishi wa pale Mzumbe wakati ule IDM. Walikwenda kusoma pale wakaambiwa wanasoma CPA(T) .NBAA ilipoanza kazi wakaambiwa CPAT haipatikani Darasani . lazzima uhenye . Walisoma miaka 4. hawakupewa CPA T Hivo basi Anna ni Trainned Accountant cum Auditor...
  3. B

    Do we really need TAKUKURU?

    kwanza PCCB au taasisi ya rushwa ni tamanio la utawala bora. kwa maana nyingine ikle ueleweke kuwa kuna utawala bora nchini inatulazimu tuwe na chombo kama hicho au kinachofanya kazi kama hawa PCCB. mimi kwa maoni yangu kiwe huru sio chini ya rais. kifanye kazi kwa uhuru sio kusafisha kina...
  4. B

    Hi, am a new member!

    Hollow community members.This is Bmkumbo on board. You are welcome.
Back
Top Bottom