Recent content by bmk

  1. bmk

    Wafahamu mabilionea walioanza maisha na 'kazi za ajabu'

    Kwa mbaali sana Bezo jeff na SSB wamefanana sana usoni.
  2. bmk

    Kwanini Dkt. Philip Mpango ni Roman Catholic halafu kaka yake Askofu Gerald Mpango alikuwa Anglican?

    Mimi Baba mlutheri, Mama Mmoreviani Mimi ni mFull gospel na mdogo wangu anayenifuata ni msabato. Shida iko wapi?
  3. bmk

    Soko la Karume limeungua moto

    Upuuzi wetu wtzednia, yaani tunaona kabisa srkl hii iko kwa ajili ya matumbo yao, lakini bado tunawachekea, Acha kila mmoja aguswe ndipo sasa tuamke.
  4. bmk

    Ongezeko la kasi la ujenzi wa vituo vya kujazia mafuta (Petrol & Diesel)

    Tunahoji ongezeko la ujenzi wa vituo vya mafuta kama ni kuwa uchumi unaimarika zaidi ama biashara ya mafuta iko na margin nzuri ndiyo maana wawekezaji wazawa na wageni wanakimbilia kuifanya??? NI SIMPLE SANA KUELEWA, USITESE AKILI YAKO.
  5. bmk

    Unapotafuta mke, hutakiwi kutumia nguvu kubwa

    Evelyn Salt Habari ya siku nyingi? Dah yalisemwa mengi sana juu yako...ASHUKURIWE MUNGU upo na unaendelea...Mungu akutunze miaka 1000. Binafsi I missed you so much...Dah if you don mind DM tafadhari.
  6. bmk

    Je, kwa hali hii nitakuwa na upungufu wa nguvu za kiume?

    Brother shida huwa kwa mwanamke, kama dakika tatu hajatoa UNAKUA UNAMTESA.
  7. bmk

    Je, kwa hali hii nitakuwa na upungufu wa nguvu za kiume?

    Vipi kuhusu speed ni: Pa pa pa pa paaa AU pa pa pa pa pa pa pa??
  8. bmk

    Martin Maranja Masese mchango wake kwenye kesi ya Mbowe, hautasaulika

    Halafu, hakosei kosei hovyo.
  9. bmk

    Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza

    Dah inaumiza sana, Mungu awarehemu kwa kweli[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
  10. bmk

    Uzoefu wa kusafiri na Rocket kati ya Misri na Afrika ya Kusini

    Discovery channel inakuhusu wewe, AKILI KUBWA. Unaonekana kabisa kwenye DSTV yako huwekagi Bongo movie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1531]
  11. bmk

    William Lukuvi anaandaliwa kuwa Spika wa Bunge la JMT?

    Typo[COLOUR=#660099] instead of "Typing"
Back
Top Bottom