Recent content by BM Pesambili

  1. BM Pesambili

    Wasanii mmekuwa watu wa kutumika kwa muda mfupi na kuambulia maumivu kwa miaka 5

    Wasanii wa Bongo sasa ni muda wenu wa kutumika, kukata mauno kwenye majukwa ya kisiasa umefika. Mtapewa vijisenti na ubwabwa na kusahau matatizo na shida zenu Kwa muda, Baada ya uchaguzi shida na matatizo yenu yanabaki palepale. Mmekuwa kama Punda ambaye amezaliwa kuwatumikia wengine na kasuku...
  2. BM Pesambili

    Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

    Nimesulibiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu (Wagalatia 3:20).
  3. BM Pesambili

    Safari yangu ya jana imenisaidia kuitafakari imani yangu kwa dakika kadhaa

    Endelea kuamini unachoamini, dunia hii ina mengi na mambo ya kusitajabisha. Wapo wanaopinga uwepo wa Mungu . Hii ni sambamba na mawazo ya kiyumanisti(hali ya kuabudu binadamu badala ya Mungu) na kimatirialisti( hali ya kuabudu mali ya dunia badala ya Mungu. Wahiumanisti huamini kuwa mwanadamu...
  4. BM Pesambili

    Rais mstaafu Kikwete aliweza kukuza Gross National Income kutoka USD 500 mwaka 2005 hadi USD 940 mwaka 2015, ni kutokana na kuvutia uwekezaji imara!

    Wewe endelea kubonyea tu mkuu, haya mambo mengine waachie wenyewe hii Bongo bwana kila mmoja anaishi kwa kupiga domo hata kama kwa mambo yasiyowezekana” utaishia kuambiwa hivyo kama huamini basi kalagabaho.
  5. BM Pesambili

    Siri ya mafuta ya upako na dhana mpya ya utapeli

    Una taarifa yake sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. BM Pesambili

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Sijakuzuia kuendelea kuamini hao waganga wa kienyeji wa kisasa. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. BM Pesambili

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Sijakuzuia kuendelea kuamini hao waganga wa kienyeji wa kisasa. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. BM Pesambili

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Hawa manabii tuliwazungumzia hapa leo wameleta maafa makubwa kwenye nchi yetu. Boniphace Mwamposa ni miongoni mwao. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. BM Pesambili

    Wimbi la wanandoa kujenga nyumba kwa siri

    Mwanamke kujenga nyumba kwa siri inategemea na tabia za mume wake, unakuta mwanaume hamshirikishi mkewe Katika kitu chochote, hata kadi ya bank hajui namba zake za siri, hata simu Ina password mda wote Anna miradi msingi lakini hajWah kumuonyesha mkewe, hata sehem anapofanyia kazi mkewe hajui...
  10. BM Pesambili

    Biashara ya Samaki vs Maziwa

    Hongera sana kwa kujituma
  11. BM Pesambili

    TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

    Umemaliza safari yako Mzee wetu ..Sasa pumzika kwa amani. Njia yetu ni moja, tangulia tutakukuta huko.
  12. BM Pesambili

    Wazee Butiku na Warioba chungeni masikio yenu yasizidi vichwa. Mna maslahi na Katiba Mpya, acheni wengine waliongelee. Kwani hamuwezi kuwa objective?

    Mkuu, Kujihusisha na mpumbabu ni kuitesa roho. Huyu ni mjinga na mpumbabu. Anasema wanyamaze kimya Jambo la Katiba waachiwe wanasiasa; ujinga ni mzigo mzito Sana.
  13. BM Pesambili

    Rais Magufuli ; Mshauri aliye bora kuliko wengine ni yule akuelezeaye makosa na dosari zako

    Siku zote viongozi wasiokuwa na sifa ya uongozi huwa hawakubali kukosolewa, wakidhani kuwa hiyo ndiyo njia sahihi ya kuthibitisha msimamo wao. Na Kiongozi wa namna hii siku zote upenda kusifiwa na kupongezwa hata kwa Mambo ya kijinga. Na yeyote yule atakayejitokeza kumpinga au kuongea ukweli...
  14. BM Pesambili

    Ni kweli! Utashindwa, tena Utashindwa kwa aibu. Jitafakari

    Tunaoamini maandiko ukisoma mathayo 7:3-5 "Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au utamwambiaje nduguyo, niache nikitoe kibanzi katika Jiko lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki...
  15. BM Pesambili

    Ni kweli! Utashindwa, tena Utashindwa kwa aibu. Jitafakari

    Tuko pamoja Kiongozi. Mapambano yanaendelea.
Back
Top Bottom