in short nikiwa kama mnazi mkubwa wa real madrid tangu kitambo kidogo lakin sijawahi kuchangia kwenye uzi huu! tujiulize jambo moja tuna record mbaya sana ya nusu fainal za uefa ndan ya miaka 6 tumepita mara moja tu na kucheza fainal mpo hapo wakuu!!!!!
Nina mtoto wa kike ana miaka karibia mitatu sasa,tatizo lake kubwa ni mifupa yake haina nguvu kabisa!miguu kama inapinda kwa ndan!vidole vya mikono ukivinyoosha analia sana,magoti kama yamevimba !cha ajabu wiki iliyopita hadi shingo kuna wakati inakaza anashindwa kuwa flexible kabisa ! hata...
point hapa ni zito je kama alikuwa si mwazilishi wa cha inakuwaje ndan ya muda mfupi anajiunga na chama na kupewa madaraka makubwa hivyo kama mfalme?act tanzania hata kama hamjui kusoma hata picha kuangalia du aibu sana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.