Recent content by Blue Marble

  1. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Je, wajua miti ni sumaku inayovuta nguvu za kiroho? Panda miti nyumbani kwako

    Asaante kwa makala nzuri...kama mwanaharakati wa uhifadhi wa mazingira andiko hili limenibariki sana.... Kama utaweza kufanya tafiti ukaja na majina ya hizo aina za miti na kutuwekea hapa utakuwa umefanya jambo kubwa kusaidia jamii yetu ipone...masna hali si shwari nafsi nyingi zinataabika...
  2. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

    Mkuu umetumia lugha kali sana.
  3. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

    Muhimu kusonga mbele....
  4. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Ndio zao

    Khe! Ndio nini hii..... Kama ni kweli tumekwisha
  5. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Kwa Tanzania ni Muhimu kujua haya katika Maombolezo ya Malkia Elizabeth

    Yericko mtu bingwa
  6. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania The looting machine of Africa

    Tulihujumiwa tukahujumika.... Ila binafsi nitafanya jambo
  7. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    Maarifa batili hayawezi kushika hatamu katika dunia hii tuishiyo.... Haitakaa itokee ....labda binadamu akigundua sayari nyingine akafanyie hayo lakini sio hapa tulipo.
  8. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Tunaandika barua kwenda Google ili itambue maudhui ya lugha ya Kiswahili

    Kwa kweli jambo hili likifanikiwa tutakuwa tumeula
  9. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Elimu hii ya siri ndiyo kitovu cha hekima na upotoshaji katika sayari yetu

    Nimekutana na mtu wa aina hii...wakati ndio naanza kumfahamu na kunufaika na maarifa yake ..ghafla kachizika na mpaka sasa sijui alipo ...dunia ina mambo hii ..tuache tu.
  10. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Urusi ikishindwa, China ijitayarishe na Marekani hatamtawala mtu

    Sijakupata mkuu
  11. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Nyuklia zina ubabe; Teknolojia ya kuzuia madhara ya silaha za nyuklia italeta mapinduzi makubwa katika uwanja wa vita

    Kweli kabisa kupatikana kwa technology ya kuharibu nuclear weapons yatakuwa mafanikio makubwa sana kama viumbe wa dunia tunaoishi kwenye karne hii....tumechoka na vitisho vya hawa mabwana wanaomiliki haya masilaha.
  12. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nguvu ya Bangi na Hempu kwa Afrika

    Nipo Dar
  13. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nguvu ya Bangi na Hempu kwa Afrika

    Nakipata wapi hiki kitabu mkuu
  14. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Takwimu hizi zinamaana gani kwa sera zetu za kijeshi. Tumekua kama Ujerumani?

    Mimi naona tuko vema kabisa.. Silaha nyingi za nini? Ukizingatia budget yake, handling cost na mabadiliko ya technolojia ...better have few and cop with new tech at its pace.
  15. Blue Marble

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Patience pay handsomely at the end Patience is giving yourself chance Patience brings victory always Patience.... Patience it's a super power!
Back
Top Bottom