Recent content by Blue lady

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenye waume walevi njooni hapa tufutane machozi

    Nina ndugu yangu alifariki kwa ugonjwa wa alcoholic river desease yn ndugu zangu huu ni ugonjwa hatari unaokimbilia kwny ini, yn alikufa huku amekiri pombe ndiyo imesababisha. Yn tuliumia sana alikufa namuona kwa macho yangu, yy hakuwa malaya wala hakuvuta sigara ila pombe tu. Mume wangu...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Salt n pepa! Enzi ya enzi

    Nyimbo zao hazichujagi hao
  3. B

    JamiiForums Tanzania Salt n pepa! Enzi ya enzi

    Aisee salt n pepa walikuwa kiboko sana!mmenikumbusha mbali sana[emoji1]
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kupwaya kwa vipindi Clouds tv

    Ni kweli hawana vipindi vingi kwenye TV. Ushauri wangu ni huu; wabuni vipindi vingi kwny TV kama ilivyo kwenye radio itapendeza sana,clauds ina watu wengi wenye ubunifu mkubwa, nina imani watarekebisha hivi karibuni.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aache siasa chonganishi. Mbunge gani wa CHADEMA alimuomba amteue?

    Hata kama walimuomba, hakupaswa kuongea vile. Hii ni aibu kubwa
  6. B

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aache siasa chonganishi. Mbunge gani wa CHADEMA alimuomba amteue?

    Hahahaaa! sikutegemea kabisa kauli kama hii kutolewa na Mh. Rais. Ama kweli siasa nimchezo mchafu sana. Sijui hii nchi inapoelekea ni wapi!!
  7. B

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya Bunge kuwafungia wabunge kuhudhuria vikao ni ukiukwaji wa KATIBA

    Spika ametukanwa nini? naomba mnijuze wadau!
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wanapenda kuolewa na wanaume wenye degree+?

    Degree au hata Diploma huwezi fananisha na mtu aliyemaliza std 7 hata uwezo wa kupambanua mambo unakuwa mdogo sana. Ni wachache sana waliokomea la saba wanakuwa na utashi wa kuchanganua mambo, na utakuta wengi ni wale waliobobea kwenye dini sanaa! ndiyo wanaweza wakawa na utashi huo.
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wanapenda kuolewa na wanaume wenye degree+?

    Huu Uzi unafurahisha sana[emoji1] [emoji1]
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Eti anawapiga mwaka mmoja! Tumuombee huyu mzee kuna kitu kinamchanganya na anakijua mwenyewe
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Unajua hawa viongozi wetu wanajisahau sana hasa wanapokuwa madarakani, hawajui kama kuna kesho na haujui hiyo kesho itakuwaje. Time will tell!!
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Lissu ni kisu cha makali
  13. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Maana huwezi kufanya vile utafikiri hauna watoto au wewe ndiyo mungu.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Huyu spika nilikuwa namuheshimu sana sana, ila naona anataka kujiharibia yani nimemshangaa sana jinsi alivyomdhalilisha Mh. Mnyika then kutoa adhabu kwa waheshimiwa Bulaya na Mdee! binafsi bado namshangaa huyu baba yetu kichwa chake kimeingiliwa na nini jamani? Tumuombee, nadhani kuna kitu...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Mbona kila gari ninayoiona namba mpya, watu wanapata wapi hela wakati wanalalamika

    Hahahaaaa! mtoa uzi umenichekesha sana
Back
Top Bottom