si hapo tuu,,,,,,ukweli ni kwamba serikali inatumia pesa nying sana kulipa wafanyakazi ambao hawaingizi chochote. ni tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria na kwa style hii serikali kupiga hatua kimaendeleo tusahau. anatakiwa mtu mmoja mwenye uchungu na serikali ili afumue kila kitu na kujenga upya...