Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,739
- 10,067
Wadau kutokana na kuwa na tatizo kubwa sana la ajira, vijana tumekuwa tukimnyenyekea yeyote tu anaetangaza kuweza kukupa ajira..
Humu jukwaani kuna jamaa mmoja anaweka sana namba yake ya simu na kusema atafutwe, nimejaribu kumpigia simu ili nijue hasa ana deal na nini!
Kwa haraka haraka nilijua yupo Dar tuu!
Jamaa kapokea, baada ya salam na utambulisho siku hiyo hiyo kaniambia tukutane ukumbi wa JK Nyerere posta kuna semina tena na elfu tano kiingilio! Dah! Nikamuuliza ni biashara/kazi gani hiyo ina kiingilio?? Jamaa kaongea vitu vingi mnoo nikajua tu ni forever living.
Kanitumia video whatsapp ya dk 30 akiniambia jinsi watu wanavyoingiza mil 20 kwa mwezi kupitia forever living. Kuweni makini.
Biashara ya kuzungusha alovera mjini na kuunganisha watu si rahisi hivyo. Huyu jamaa ID yake inaanza na herufi W.
Humu jukwaani kuna jamaa mmoja anaweka sana namba yake ya simu na kusema atafutwe, nimejaribu kumpigia simu ili nijue hasa ana deal na nini!
Kwa haraka haraka nilijua yupo Dar tuu!
Jamaa kapokea, baada ya salam na utambulisho siku hiyo hiyo kaniambia tukutane ukumbi wa JK Nyerere posta kuna semina tena na elfu tano kiingilio! Dah! Nikamuuliza ni biashara/kazi gani hiyo ina kiingilio?? Jamaa kaongea vitu vingi mnoo nikajua tu ni forever living.
Kanitumia video whatsapp ya dk 30 akiniambia jinsi watu wanavyoingiza mil 20 kwa mwezi kupitia forever living. Kuweni makini.
Biashara ya kuzungusha alovera mjini na kuunganisha watu si rahisi hivyo. Huyu jamaa ID yake inaanza na herufi W.