Wanaume mnaowaambia wanawake watoe mimba kwa kweli cjui niwape jina gani,mnakua hamjatatua tatizo, maana hujui uyo anayetolewa angekua nani hapa duniani maybe angekua raisi, doctor or whatever sasa kwakuogopa binadamu mnzako unamfanyia ukatili uliyempa mimba atoe baada ya hapo unajisifu nakuona...
Shukuru mungu umezaa ukijiheshimu atarudi tu ww sasa hivi unatakiwa usome sana kwaajili ya mwanao uweze kumuhudumia na maisha yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana,kutomrudia tu inatosha dear na move on,ikiwemo acha pombe na tafuta mwingine tena jifanye huna kitu uone atakuchukuliaje uyo mwingine,love yourself, kwake ibaki story tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.